Uvaaji wa Culture (Bracelet) na tabia za ukahaba kwa dada zetu

Kweli bongo kuna viwanda vya kuzalisha uongo, alijisemeaga jk.
 
kwenye msiba hapa nimemuona Mdada ana mzigo wa haja, yeye na suruali imekamata mzigo acha! MKONONI NA BRACELET YA PICHANI...ANATAMANISHA KWA HIYO KAJA KUFANYA BIASHARA MPAKA MSIBANI WADAU?
 
WAKENYA MPAKA MAPROFESA WANAVAA. NILIMUONA PROFESA WA PSYCHOLOGY AKIHOJIWA NA MUHAMMAD ALI AMEKULA SUTI MKONONI AMEVAA BRACELET, BINAFSI HATA MIMI NAPENDA BRACELET ZENYE NEMBO YA NCHI
 
mawazo mazuri, lakini usisahau pia kuna watu wanatafuta sana pesa ila mwanatenga muda pia kuangali LIVE PORN, NA KUNUNUA MAKAHABA HATA WAWILI ANALALA NAO KWA 3SOME....
 
kwenye swala la kuvaa culture umeandika kama mjinga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huko Telegram mbona sijawahi kuona porn yoyote
 
Hahhaaaa dunia ina vituko sana

Kwa hiyo siku hizi tunaovaa culture ni wauzaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ww ushaanza kuvaa
 
Ndiyomaana jua linawaka kali sana na laana za magonjwa ya ajabu ajabu hadi yasiyo na tiba
 
Japan wanahitaji Wanaume marijali toka popote duniani wakawazalishe Wanawake wa nchi yao sababu Wanaume wengi wameathirika na pornography, video za X na upigaji punyeto.

Amka usingizini wewe!
 
Nimejikuta tu nawawaza wale wanaovaa hizo bracelets kama urembo huku wakiwa hawana wanalojua kuhusu hili.
Ndiyo matatizo ya kuiga iga kila kitu bila ya kujua chanzo chake na maana yake, kuna Wanawake walivaa vikuku kama urembo hatimaye walilazimishwa kufanywa kinyume na maumbile wakadhurika na kuathirika.

Pia wapo Wanaume walioiga kujiweka ktk utafutaji riziki kwenye makundi wasiyoyajua wakajikuta wameuza madawa ya kulevya wakaishia jela na kuuwawa, wengine ni mapunga makonki.

Mungu atupe hekima tuwe wadadisi wa kila kitu kabla ya kuiga iga tu.
 
Mkuu hiki ni kizazi kilichooza, uhalali wa mwanadamu kuendelea kuishi hapa duniani ndani ya kusudi la Mungu ni kama haupo tena......ibilisi almost anaendesha kila aspect ya maisha.
Video za X zimepelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi sana, jitu bila ya kuangalia huo ujinga halisisimuki.

Pia wapo walioleta hiyo michezo kwa Wake zao au Waume zao na kupishana wakaachana.

Pia wengine wamebariki huo upumbavu na kuendelea kutapanya mimavi vitandani mwao.

Hii laana tuikatae kwa hali na mali maana kinachofanywa leo na Wazazi ndivyo kitavyoambukiza kizazi chetu cha kesho.

Karma is a bitch.
 
Ndiyo matatizo ya kuiga iga kila kitu bila ya kujua chanzo chake na maana yake, kuna Wanawake walivaa vikuku kama urembo hatimaye walilazimishwa kufanywa kinyume na maumbile wakadhurika na kuathirika.
Wanawake gani Hao walioingiliwa kinyume kisa wamevaa Vikuku? Labda wanawake wa Family yako. Mie navaa Vikuku na sijawahi kutiwa hata Kidole cha tako
 
Wanawake gani Hao walioingiliwa kinyume kisa wamevaa Vikuku? Labda wanawake wa Family yako. Mie navaa Vikuku na sijawahi kutiwa hata Kidole cha tako
Sawa, endelea kwa wakati wako sababu ni uhuru wako na naheshimu mawazo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…