Uvaaji wa nguo ya ndani aina ya bikini

yaani unavaa bikini halafu unalalamika mkanda unapita katikati ulitaka ukae wapi?
 
Hahahahaha shouger mwenzangu ikakaa huko huko naona tabu nahis kama inanichubua kunako jamni tena kuna hii yenye kikamba kimoja mbele nikivaa nahisi clitorisis inawaka moto
zinavaliwa na suruali hizo ila kwanini ujitese unavaa chupi ya nini?
 
Badala ya kyupi kuhifadhi makalio ss hivi inabidi uyafunue makalio ndo ukute kyupi kimesitiriwa!! Kweli dunia inaenda mbio[emoji124][emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vaa ukiona imeingia huko nistue nikutoe maana kuitoa mwenyewe ni dhambi mrembo
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…