mdude ana umaarufu? Upi?
Ila taasisi hiyo ya rais kutukana ruksa?Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa raisi wa jamhuri ya muungano wa TZ.
Niseme wazi kama mama Samiah angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika uhuru wa mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonyesha watu kama hawa kua mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Unapodai lugha ya staha nawe uwe nayo! Haa umeonyesha kuwa huna staha hata chembe hivyo hukuwa na sababu ya kumlalamikia Mdude!Niko kundi moja na baba yako
Unashangaa nn shoga mimi mda mrefu
Ndio Kama mlivyokuwa nazo nyinyiMnataka haki za kutukana
umaarufu usio na faida[emoji706][emoji706]Umaarufu anao, bila kujali ni wa aina gani. Huko bungeni nusu ya wabunge hawafahamiki, Mdude anfahamika kuliko wao. Kwahiyo hapa suala sio umaarufu, bali ni umaarufu wa aina gani.
Mitizamo ya jinsi hii ndiyo inayochochea kuni kwenye moto wa katiba mpya.Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Arudishwe arudishwe, kaizoea jelaNimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
umaarufu usio na faida[emoji706][emoji706]
Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Inaonesha jinsi gani hujielewi kabisa. Yaani rais aamue asitoke mtu na kauli yake itekelezwe! Na we unashadadia kwamba ndo haki hiyo ya kumlundikia rais madaraka kias ambacho anaamua tu.Nimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Ina tofauti na kuchangiwa sherehe mtaani unapotaka kuoa?Katoka jela kashachangiwa 10m kutokana na umaarufu wake.
Kachangiwe na ww.Ina tofauti na kuchangiwa sherehe mtaani unapotaka kuoa?
jibu hoja wew bavichaKachangiwe na ww.
Kama ipo inajibiwa, lakini kama ni matapishi tunayatemea mate.jibu hoja wew bavicha
Mdude hajamtukana Samia, toa ushahidiNimefanikiwa kuiona clip ya Mdude akitumia maneno ya kuudhi na yasiyo na staha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Niseme wazi kama Rais Samia angeamua asitoke asingetoka ila kwa sababu anaamini katika Uhuru wa Mahakama aliamua ifanye kazi yake.
Ni muda muafaka sasa kwa UVCCM kuwaonesha watu kama hawa kuwa Mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi hawezi kudhalilishwa kirahisi namna hii na vijana kukaa kimya.
Hakuna sehemu Mdude kamtaja SamiaKama kweli anaamini uhuru wa mahakama,,vile vile lazima aamini uhuru wa kujieleza,,,sio lazima wote tuwaze utakavyo wewe,,,kila mtu ana uhuru wa kuwaza na kujieleza kwa kadri Mungu alivyo mjalia utashi wake,,,by the way rais sio Mungu,,,hata wewe pengine jamii inayo kuzunguka inakuona hufai kabisa,,ni kwa vile tyu huzungumziwi kwa sababu hufahamiki compared to mdude,,,by the way you might not understand ,the pains and feelings of mdude,wewe kaitetee familia yako kisha tulia,,mwache mdude with what he believe
Kama raia wa kawaidaWewe Kama nani?