Pre GE2025 UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imeitaka serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuhakikisha inaufungia mtandao wa 'X' zamani ukijulikana kama 'tweeter' kwa kuwa mtandao huo apo serikali ilifungia mitandao iliyokuwa ikipandisha maudhui kama hayo

Pia soma: Serikali iache double standard mitandao ya kijamii kuhusu maudhui ya ngono
Huo umoja umejaa michicha miba na wasagaji,yani mtu anaropoka tu kama popoma
 
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imeitaka serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuhakikisha inaufungia mtandao wa 'X' zamani ukijulikana kama 'tweeter' kwa kuwa mtandao huo ]
Na kwa ushauri tu, Jamii forums ndo uwe mtandao rasmi kwa upande wa serikali
 
Huyu Sheikh siku zote makalio ya wanawake ndo ajenda yake. Ameyabatiza majina mengi ya ajabu na mengine yakidhalilisha utu wa mwanamke. Lakini eti Leo ndo anatumika na UVCCM Kwa agenda kificho kutaka Twitter X ifungiwe. Anayoyahubiri siku zote haoni yanaharibu Jamii Ila X Kwa vile inatumiwa na watu wanaojielewa kukosowa matendo maovu ya waliomuajiri anakuja kutoa mbovu eti Twitter inaeneza ushoga. Nyani haoni kundule.
 

Attachments

  • 20240611_173303.jpg
    20240611_173303.jpg
    64.7 KB · Views: 3
Huyu Sheikh siku zote makalio ya wanawake ndo ajenda yake. Ameyabatiza majina mengi ya ajabu na mengine yakidhalilisha utu wa mwanamke. Lakini eti Leo ndo anatumika na UVCCM Kwa agenda kificho kutaka Twitter X ifungiwe. Anayoyahubiri siku zote haoni yanaharibu Jamii Ila X Kwa vile inatumiwa na watu wanaojielewa kukosowa matendo maovu ya waliomuajiri anakuja kutoa mbovu eti Twitter inaeneza ushoga. Nyani haoni kundule.
Hovyo sana huyu
 
Huyu Sheikh siku zote makalio ya wanawake ndo ajenda yake. Ameyabatiza majina mengi ya ajabu na mengine yakidhalilisha utu wa mwanamke. Lakini eti Leo ndo anatumika na UVCCM Kwa agenda kificho kutaka Twitter X ifungiwe. Anayoyahubiri siku zote haoni yanaharibu Jamii Ila X Kwa vile inatumiwa na watu wanaojielewa kukosowa matendo maovu ya waliomuajiri anakuja kutoa mbovu eti Twitter inaeneza ushoga. Nyani haoni kundule.
Lemme say this reacted your post with achana naye
 
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imeitaka serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuhakikisha inaufungia mtandao wa 'X' zamani ukijulikana kama 'tweeter' kwa kuwa mtandao huo kutangaza dhamira ya kuruhusu kupokea maudhui yanayokinzana mila, desturi na silka ya Watanzania

Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohamed Ali Mohamed (Kawaida) wakati akizungumza na wanahabari leo, Jumanne Juni 11.2024 jijini Dar es Salaam ambapo amesema hatua ya kuufuta mtandao huo itasaidia kuendelea kulinda maadili ya vijana wa Tanzania kwa kuwa mitandao ya kijamii haipaswi kupewa kipaumbele kama inachochea uvunjifu wa mila na desturi

Kawaida amesema hivi karibuni mtandao huo (X) umetoa tangazo ukieleza kwamba maudhui yote ya kingono na Yale yanayofanana na hayo yameruhusiwa kupokelewa jambo ambalo halikubaliki kwenye taswira ya jamii ya Tanzania

Amesema taarifa hiyo ya kusikitisha imepokelewa kwa hisia hasi na UVCCM hivyo kuitaka serikali kuchukua maamuzi kama iliyowahi kuchukua siku za nyuma ambapo serikali ilifungia mitandao iliyokuwa ikipandisha maudhui kama hayo

Pia soma: Serikali iache double standard mitandao ya kijamii kuhusu maudhui ya ngono
hata heading inachekesha, eti, "UVCCM YAITA SERIKALI....
 
Huyu sheikh ndio wale wanaoitwa mashekhe ubwabwa. Mbona ni mgagagikoko hivyo, kaiona twitter ndio ya hivyo? Ana mawazo finyu
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mohamed Kawaida amewataka vijana wa Chama hicho kukemea juu ya matumizi mabaya ya mtandao wa Twitter maarufu kama X nchini Tanzania kutokana na kubadilika kwa maudhui ya mtandao huo.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dar es Salaam wakati alipokua akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema kuwa hivi karibuni wamepokea taarifa ya kushtua kutokana na mtandao huo kubadilisha maudhui yake na kuanza kuruhusu kutumika kwa picha za ngono maarufu kama ponogroph.

Amesema kuwa, picha zinazorushwa kwenye mtandao huo hazina maadili kwa kizazi cha kitanzania hasa ukilinganisha watoto wengi na vijana wamekua wakitumia simu kuingia kwenye mitandao hivyo kuwepo kwa picha hizo mtandao ambapo zinapotosha watoto kufuata na kufanya mambo yasiofaa.

Amesema kuwa, Uvccm wamekua wakua walezi wazuri wa maadili kwa vijana wote hivyo hawapendezwi na mtandao huo kuamza kubadilisha maudhui yake na kuruhusu matumizi ya picha na video za ngono kwani zinaleta athari kwa kizazi cha sasa ni kinachokuja.

"Kwanza hata jina lenyewe tu linalotumika limekua na maudhui yanayoendana na masuala ya kuhamasisha ponograph, watoto wengi wanatumia simu na wanaingia kwenye mitandao, hivyo sio vizuri mtandao huo kutumika nchini kwetu"amesema Kawaida.

Hata hivyo, ameiomba Serikali kuingilia kati jambo hilo na kuufungia mtandao wa twitter maarufu kama X nchini Tanzania usitumike kwani unapotosha maadili na vijana kuanza kuiga mambo ya kigeni yasiofaa ndani ya jamii.

Aidha amesema wao hawana shida na mtandao huo kutumika nchini Tanzania ikiwa wataondoa maudhui yake yasiyofaa basi uendelee kutumika ila kama haiwezekeni basi vyema Serikali ikaufungia kutokana na kuruhusu kurusha maudhui yasiofaa.
 

Attachments

  • VID-20240611-WA0100.mp4
    9.7 MB
Nimestushwa na bwana mdogo wa UVCMM ambae hata public speaking yake haijakaa UZURI akijicholesha mbele ya media kuomba mtandao X ufungwe. With cheap justifications.

Sijui ni lack of exposure au ni elimu kwa ujumla ; ila kiutendaji it is a big mistake kuji expose namna hiyo, just kwa maslahi ya muda mfupi ya mtu fulan ambae hatolast forever.

Sometimes siasa zina goma, inabidi kama kijana utafute ajira, and with such mentality, hata kwenye NGOs huwezi kunusa pua, halafu media inaweka records, mbaya sana.

Wakati mwingine hata Rais anaekuja, anaweza kuwa na mtazamo tofauti, halafu akaja kukuspot kama bogus au mindless guy, how could you suggest X ifungwe karne ya 21 ya data science na technology?

Ni aibu hata kwa chama kuwa na vijana sampuli hii. Zaman UVCCM ilikuwa inachukuwa zile best students za MUHAS na UDSM, mfumo huu ulikuwa mzuri, now days ni matakataka ndio yanajiunga UVCCM.

Tuwe makini na mihemko ya siasa, it is not realistic kushauri kufunga mitandao au mtandao wa X bila ya kuwa na data au évidence based information, suggestion Kama hizo huambatana na evidence informed practice with statistical significance otherwise inakuwa ni too subjective and lack of intelligence, kwanza ana level gani ya elimu huyu bwanamdogo?

na CCM mjitafakari kuwa na vijana wa hovyo na washisha kama hawa.

The end does not justify the means!
 
Anamfuata Mwamposya aliyedai anafunga na kuomba mwezi wa nane X isiwepo Tz 😁
 
Hata Bunge la Marekani lilitaka iwe hivyo. Baada ya Watumiaji kuibuka na kudai isifungiwe ndipo wanasiasa walipo dai Wamarekani wainunue(about face) Lakini Mwanzoni kabisa walitaka waimalize. Including Trump. What a bogus move.

Republicans wajitafakari. Ni ujinga na ni dhambi isiyo sameheka.

"Tunajifunza kutoka Marekani"

Bongo nyoso.
 
Back
Top Bottom