Elections 2015 UVCCM yamvaa LOWASSA, yakerwa na kauli zake za kutetea wabakaji, wamshangaa SUMAYE

Kwa niliyoyasikia jana Jangwani....
Nawashauri SISIEM mkae kimya mana ni mtahaibika
 
Uvccm endeleeni kujambajamba kuhara kwaja tafuteni pampasi msijetuharibia hali ya hewa
 
Swadaktamaneno yako mkuu
Full hofu na mashaka,poleni UVCCM maana naona mmetingwa kwelikweli.Mnashindwa kutoa matamko dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu,uchafu wa jiji la dar,na matatizo kibao ya chama chenu na serikali mnawashwa na mabadiliko ya ukweli!
 
Hivi kati ya Rwanda na Tanzania nani wakumsaidia mwezake mipango ya kiuchumi ? najuta kuwa mtanzania.
 
Hivi UVCCM wanataka EL akoge nyoyo alikuwa anaimba taarabu; mtiririko na details za hotuba za nini kwani alikuwa anafanya mtihani? Wenye akili walielewa ila siyo rahisi CCM kuelewa kutokana na ukilaza wao
 
Nilidhani ni taarifa ya maana kumbe mihemko tu ya vijana.Mlitaka aeleze kuwa atandeleza vipi miradi yenu,kwani hiyo miradi ya wapinzani? Kama ni ufisadi si ccm ndiyo imejaa mafisadi? Lowasa alikatisha hotuba kutokana na mda,hivi angeendelea si mngeita polisi kupiga mabomu? Kama uvccm imejaa watu wasiojielewa kama shaka ninamashaka na uwezo wenu.Lowasa amesema atazungumza zaidi kwenye mikutano mingine,nyinyi mnataka kuwapangia UKAWA cha kuzungumza? Mbona Magufuli anaiponda serikali as if yeye ni mpinzani?Taarifa kama hizi pelekeni kwa watoto wenzenu huko.
 
UVCCM, hongereni sana, nyie ndio mfano wa kuigwa wa vijana wazalendo mnaojua nchi yenu inatakiwa kuendelea kwa dhati na sio kimaigizo na usanii wa mafisadi wa ukawa
 
Wakakemee kauli ya magufuli kuwa wananchi wakiikataa ccm nchi itaingia vitani kama libya wamuulize kwa nini anaamini haya yatatokea?
eti Libya, kwani Libya kuliwahi kuwa na vyama vingi!?
je, hao akina Lowassa, Dovuttwa, Mchange, Anna Mgwila nk wamejipitisha wenyewe au na tume!?
Na kama wanaweza kutupeleka katika vita ni kwa nini usalama wa taifa hawajawazuia au ccm kuwawekea pingamizi!?
Mimi naona hawa jamaa wanaongezewa promo na kupewa hoja za kujibu!
Kwa vile Ghadafi alitawala nchi peke yake na kutaka kurithiwa na wanawe, sasa mnadhani hapa kuna baadhi ya waliokwisha wachomeka watoto wao na wanadhani mpango wa kuwatibulia kuendeleza ufalme ndio vita!?
Kuendelea kuzinyamazia propaganda za kizamani na woga kama hizi si kitu cha kuchekea.


 
Hongera sana vijana mnaojitambua.

mnawachimbia shimo vijana wa watu, kama kwawaida yenu mtawafanya kama karai.... mmewanyima tenda ya kutengeneza t-shirts lakini hamuachi kuwatumia. nawaonea huruma vijana wenzangu hawa waliokubali kuwa watumwa kwa wao kutumika
 
Hata Kama Hajasema Neno Lowasa Ni Chaguo La Watanzania. UVCCM poleni sana
 

kichinjio kiko tayari mnapoteza muda na nguvu zenu tu. kura ni kwa Lowassa
 
Kwahiyo wamechukia kwakuwa hotuba yake siyo nzuri? Wanahisi Lowassa hajawabeba vizuri UKAWA? Kumbe wanapenda mabadiliko. Hotuba yake iko kwenye tovuti ya CHADEMA, waisome kisha watoe maoni ili akiona yanafaa ayafanyie kazi.

 
Heee!! Hii nchi ina watu wa ajabu sana. Hata sielewi nianzie wapi kuelezea kinachonishangaza!!
 
Njaa tu hizi. Huu ndo ulofa na upumbavu aliokuwa anausema Mkapa
 
Ndio maana walisema"Tunajua walikuwa wanasema tunatengeneza picha wamejibana wanaangalia kinyemela".Kumbe mafuriko yalikuwa hadi Lumumba kwa Magambaz?Kweli sindano imepenetrate...
 
Nadhani huu sio wakati muafaka wa CCM NA UVCCM kukaa na kuanza kumuongelea LOWASA mnampa publicity bila nyie kujijua au ndo lile kundi lililohaidi kumsapot mkiwa ndani ya chama ?
 
Kijana mwenzenu Bashe yeye ana akili nyingi. Changamkeni vijana, nchi inaelekea kwenye mabadiliko makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…