#COVID19 UVIKO-19 Tanzania: upo au haupo?

#COVID19 UVIKO-19 Tanzania: upo au haupo?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.

Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.

Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.

Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.

Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.

Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!

Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.

Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.

Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.

To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they were way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.

We never had people drop dead in the middle of the streets.

We never had our healthcare facilities overwhelmed.

Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!

We showed the world how it’s done 💪💪.

Couldn’t be any prouder!
 
Kama haikuwepo Magufuli na wasaidizi wake karibia wote waliondoshwa na kitu gani? ukisema moyo nitakupinga kwasababu serikali yake walikuwa na tabia ya kuficha taarifa za vifo na wagonjwa wa Uviko 19, na vifo wakati ule vilikuwa vingi.

Huu ukimya wa Corona sasa hivi unasababishwa na ugonjwa wenyewe, ulikuwa unakuja kwa vipindi ukipewa majina tofauti kama delta, omicron, n.k, naona kwa sasa utakuwa umepoa tu labda unaweza kuibuka tena mbele ya safari hakuna ajuaye.
 
Nikikumbuka uviko ulivyonichapa sina hamu. Yaani usiombe ukufike halafu hospital wanakupina wanasema uko fit kumbe uviko unaendelea kula kinga. Siku unazidiwa kumbe ndiyo unataka kuingia stage mbaya. Asante Mungu jwa uhai. Wapumzike Kwa Amani aunt zangu wawili na kaka yangu. Poleni nyote mlioguswa na uviko wewe binafsi au ndugu. Maana ndiyo mnajua machungu ya Uviko.
 
Inawezekana ugonjwa upo Kwa kiasi kidogo,ila nchi zetu hizi ombaomba tunajaribu kishawishi kipata mia 2 3 Kwa kuonyea tunapambana na korona.........then wanasiasa wa nchi hii wengi si wakweli na wanapenda sana kiki.......waliutumia huu ugonjwa kisiasa sana
 
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.

Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.

Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.

Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.

Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.

Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!

Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.

Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.

Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.

To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.

We never had people drop dead in the middle of the streets.

We never had our healthcare facilities overwhelmed.

Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!

We showed the world how it’s done 💪💪
Kuna katuni ilikuwa inasema "ukimwi ulivyotulia utadhani haupo" ukimwi na uviko wana uhusiano, huenda nao upo ila hatuuoni
 
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.

Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.

Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.

Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.

Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.

Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!

Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.

Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.

Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.

To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.

We never had people drop dead in the middle of the streets.

We never had our healthcare facilities overwhelmed.

Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!

We showed the world how it’s done 💪💪
Upo ila tuliochanja hatuna shaka Wala wasi🏃🏃🏃🏃‍♂️🏃
 
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.

Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.

Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.

Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.

Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.

Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!

Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.

Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.

Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.

To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.

We never had people drop dead in the middle of the streets.

We never had our healthcare facilities overwhelmed.

Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!

We showed the world how it’s done 💪💪
Huu ugonjwa ulikuwepo na bado upo. Ila kwa sasa maambukizi yamepungua sana. Virus fulani vinapozuka mwanzon huwa na nguvu sana lakini baadae nguvu yake inapungua. Eidha miili ya wanadamu pia inatengeneza kitu kinaitwa herd imunity baada ya ugonjwa kuwepo kwa muda ktk eneo fula (Kama Kuna mtaalamu wa fani husika yuko hapa anisaidie maelezo mazuri zaidi). Kumbuka maambukizi yamepungua sana dunia nzima. Watu wengi wamefariki kwa ugonjwa huu. Mfano mwaka jana pale Kilimanjaro watu wengi walifariki. Ukumbuke serikali ilkuwa haitoi takwimu Kama inavyoelekezwa na WHO, na sheria mbovu ile ya takwimu ilizuia watu na taasisi huru kutoa takwimu. Unadhani ni kweli yale mapapai, oil chafu na mbuzi zilipatikana na corona?
 
Ugonjwa upo.. Ila kwa mazingira yetu.. Hasa mfumo wa maisha unajenga kinga imara..
UV light from the Sun inaua virus.. Joto kali sana huku kwetu.. Ugonjwa ulileta madhara hasa kwa watu wenye magonjwa sugu au kinga ndogo
 
Karibu Tanzania! Hakuna pandemic ambayo imepata ku-wipe out the human race. Mwaka 1918 kulikuwa na Spanish Flu ambayo iliua wengi pia. Baada ya muda mwili hujenga kinga na kinga hiyo ikisambaa kiasi cha kutosha, kunakuwa na kinga at the population level (inaitwa herd immunity). Utafiti uliofanyika hivi karibuni Gauteng RSA, umeonyesha kuwa 70% wa wakaazi wote wa Gauteng wana antibodies dhidi ya corona sasa. Hii ni sawa na kusema kuwa 70% wamechanjwa - ama kwa chanjo ama kwa kirusi chenyewe naturally. Hii inakaribia herd immunity. Sijui kwa Tanzania lakini utafiti ukifanyika, matokeo yanaweza kuwa hayo hayo. Lakini mpaka kufikia herd immunity, kuna wengi watakuwa wamezikwa. Of course kiongozi yeyote anayechagiza watu wake wasijikinge ili herd immunity ipatikane ni mjinga na mpumbavu.
 
We showed the world how it’s done 💪💪
Tusingekuwa na mentality ya kitumwa basi hiki kilikuwa kitu cha kujivunia!
Lakini kwa kuwa hakikuanzishwa na wakoloni wetu, tutakiponda tu. Kwa sababu aliyeongoza mapambano alikuwa "Dikteta uchwara" na "shetani" hapaswi kupewa credit yoyote. Utumwa iwe kwa kuwa chini ya wakoloni au chini ya mkoloni chuki huwa ni mbaya sana! Hupofusha!
 
Back
Top Bottom