#COVID19 UVIKO-19 Tanzania: upo au haupo?

#COVID19 UVIKO-19 Tanzania: upo au haupo?

Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.

Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.

Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.

Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.

Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.

Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!

Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.

Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.

Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.

To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.

We never had people drop dead in the middle of the streets.

We never had our healthcare facilities overwhelmed.

Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!

We showed the world how it’s done 💪💪
Tukubaliane pamoja na mapungufu yote ya hayati JPM Alikuwa ni visionary leader !!
 
We hadi kubwa la mataahira wa ufipa bwana kigogo sasa hivi anaona hadi aibu kutamka neno corona maana kajiona jinsi alivyo mbumbumbu

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hii muvi ya ukreine ikiisha kuna wasiwasi ikaja muvi ya uviko part 5 ila kama kawaida sterling atafia kwenye maua.....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lakini Kigogo si alishafarakana na hao wana Ufipa…au bado wako tight?
Mkuu kwani kigogo aliwahi kuwa chadema lini?

Ni kwa vile wafuasi wa kile chama ni mataahira ndio maana aliwateka!

Yeye chuki yake ilikuwa ni kwa mtu mmoja tu, Magu basi! Sasa kwa vile wale jamaa ni mataahira wakabwbwa wazimawazima! Sasa anawabutua mbela na nyuma kama hana akili vile[emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa hivi kawa chawa wa hangaya huku akiwapa vidonge vyao wale mataahira wake walijiofanya wanamuabudu.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi tunahangika na suala la Ukraine🇺🇦 na Russia🇷🇺 kwanza haya mambo ya corona ni zilipendwa🐒
 
Hii muvi ya ukreine ikiisha kuna wasiwasi ikaja muvi ya uviko part 5 ila kama kawaida sterling atafia kwenye maua.....
Bill Gates ameshasema Dunia ijiandae kwa pandemic nyingine inayokuja ambayo itakuwa Kali zaidi ya Uviko 19,
 
Mtu anatoka huko na viroba kichwani anaanza kuimba, oh magufuli na wasaidizi wake walikufa kwa corona hivi nyie akili zinawatosha?

Hivi hamjui vifo vya kutengeneza ili ionekane ni ugonjwa? Kama corona mbona kwenye familiya yake hakuna alokufa? Mama yake mzee hivyo hiyo corona mbona haikumgusa?

Hivi tuliambiwa mkapa alikufa kwa ugonjwa upi?
 
You have the intelligence to understand this, don't you?

Hakuna pandemic ambayo imepata ku-wipe out the human race. Mwaka 1918 kulikuwa na Spanish Flu ambayo iliua wengi pia. Baada ya muda mwili hujenga kinga na kinga hiyo ikisambaa kiasi cha kutosha, kunakuwa na kinga at the population level (inaitwa herd immunity). Utafiti uliofanyika hivi karibuni Gauteng RSA, umeonyesha kuwa 70% wa wakaazi wote wa Gauteng wana antibodies dhidi ya corona sasa. Hii ni sawa na kusema kuwa 70% wamechanjwa - ama kwa chanjo ama kwa kirusi chenyewe naturally. Hii inakaribia herd immunity. Sijui kwa Tanzania lakini utafiti ukifanyika, matokeo yanaweza kuwa hayo hayo. Lakini mpaka kufikia herd immunity, kuna wengi watakuwa wamezikwa. Of course kiongozi yeyote anayechagiza watu wake wasijikinge ili herd immunity ipatikane ni mjinga na mpumbavu.
Kama upo, basi si ugonjwa hatari kama tulivyoaminishwa!
 
You have the intelligence to understand this, don't you?

Hakuna pandemic ambayo imepata ku-wipe out the human race. Mwaka 1918 kulikuwa na Spanish Flu ambayo iliua wengi pia. Baada ya muda mwili hujenga kinga na kinga hiyo ikisambaa kiasi cha kutosha, kunakuwa na kinga at the population level (inaitwa herd immunity). Utafiti uliofanyika hivi karibuni Gauteng RSA, umeonyesha kuwa 70% wa wakaazi wote wa Gauteng wana antibodies dhidi ya corona sasa. Hii ni sawa na kusema kuwa 70% wamechanjwa - ama kwa chanjo ama kwa kirusi chenyewe naturally. Hii inakaribia herd immunity. Sijui kwa Tanzania lakini utafiti ukifanyika, matokeo yanaweza kuwa hayo hayo. Lakini mpaka kufikia herd immunity, kuna wengi watakuwa wamezikwa. Of course kiongozi yeyote anayechagiza watu wake wasijikinge ili herd immunity ipatikane ni mjinga na mpumbavu.
Mkuu umemaliza.
Kama huna utaalamu wa masuala ya afya huna haki ya kutoa maelezo ya kijinga kwamba ugonjwa haupo.
Hii ni taaluma inayohitaji wenye taaluma ndio waitolee maelezo.
Mtu kapuku analeta maelezo yasiyokuwa na ushahidi wa kisayansi na kuna wajinga wanamuunga mkono.
 
You have the intelligence to understand this, don't you?

Hakuna pandemic ambayo imepata ku-wipe out the human race. Mwaka 1918 kulikuwa na Spanish Flu ambayo iliua wengi pia. Baada ya muda mwili hujenga kinga na kinga hiyo ikisambaa kiasi cha kutosha, kunakuwa na kinga at the population level (inaitwa herd immunity). Utafiti uliofanyika hivi karibuni Gauteng RSA, umeonyesha kuwa 70% wa wakaazi wote wa Gauteng wana antibodies dhidi ya corona sasa. Hii ni sawa na kusema kuwa 70% wamechanjwa - ama kwa chanjo ama kwa kirusi chenyewe naturally. Hii inakaribia herd immunity. Sijui kwa Tanzania lakini utafiti ukifanyika, matokeo yanaweza kuwa hayo hayo. Lakini mpaka kufikia herd immunity, kuna wengi watakuwa wamezikwa. Of course kiongozi yeyote anayechagiza watu wake wasijikinge ili herd immunity ipatikane ni mjinga na mpumbavu.
Weka chanzo cha hayo madai yako.
 
Hayajakukuta au watu wako wa karibu, Tanzania hakuna data zinazotolewa kila siku ndio maana hujui, hata States unaweza kufikiri haupo lakini mpaka leo average ya watu zaidi ya 2000 wanakufa kwa siku kutokana na COVID, ni kama Malaria tuu inaua kweli kweli kila mwaka lakini sio rahisi kujua mpaka uangalie number zinazotolewa, acha michezo
 
Back
Top Bottom