Acha kumung'unya maneno JPM alikuwa mwamba kwelikwel alikwamishwa na wanafki walioamua kum- yuda eskariot.Tukubaliane pamoja na mapungufu yote ya hayati JPM Alikuwa ni visionary leader !!
Nilipigwa na uviko mwaka 2020 mwanzoni, ila namshukuru Mungu kwa kunivusha salama maana shughuli yake sio mchezo.
Noma sana! Nikikumbuka shughuli ya kubanwa mbavu na kukosa pumzi mpaka unahisi unaweza kukata moto muda wowote sio mchezo.Hiyo ya enzi hizo ilikuwa kali sana. Mi nilipigwa 2021. Alimanusura... Ni jambo la kumshukuru Mungu. Kwa kweli usiombe. Mdudu kachukuwa mpaka maisha ya Rais wa nchi. Halafu mtu amekula makande yake huko anakuja hapa anajamba eti hakuna corona Tanzania!!
Kilichoisaidia Tanzania ni umri wa watanzania wengi upo chini ya miaka 30, na wazee ni wachache sana, lakini pia wazee wengi wametangulizwa mbele ya haki, ila kwa kuwa wengi sio wale high profile figures, nobody cares !!UVIKO upo isipokuwa Tanzania haijawahi kuwa na mlipuko wa kuleta taharuki...
Nimeshuhudia wageni wengi wakiwa na maambukizi haswa wanaotoka ng'ambo lakini yanakuwa yasiyo na madhara kivileeee...
Ivi mkuu umefikisha 18 years kwel, mbna unakua hovyo Ivo, yaan mpaka Leo unaamini magu kaondoshwa na covid.Kama haikuwepo Magufuli na wasaidizi wake karibia wote waliondoshwa na kitu gani? ukisema moyo nitakupinga kwasababu serikali yake walikuwa na tabia ya kuficha taarifa za vifo na wagonjwa wa Uviko 19, na vifo wakati ule vilikuwa vingi.
Huu ukimya wa Corona sasa hivi unasababishwa na ugonjwa wenyewe, ulikuwa unakuja kwa vipindi ukipewa majina tofauti kama delta, omicron, n.k, naona kwa sasa utakuwa umepoa tu labda unaweza kuibuka tena mbele ya safari hakuna ajuaye.
Tokea huo UVIKO-19 uanze, mimi nilikuwa na mashaka sana.
Mashaka hayakuwepo kwenye uwepo wa ugonjwa wenyewe.
Mashaka yangu yalikuwepo kwenye ukali wa ugonjwa.
Toka awali kabisa nilisema kuwa huo ugonjwa, kwa mtazamo wangu mimi, siyo mkali sana kama tulivyokuwa tunaambiwa.
Kwa hapa Tanzania, ugonjwa huo ulitumika kisiasa zaidi hususan dhidi ya Jiwe.
Alipokufa tu, na hizo habari nazo zikafa. Humu JF zile mada za vifo nazo zikaisha kabisa. Ilifikia wakati watu hapa Tanzania hawakuwa wanakufa kwa mambo mengine. Walikuwa wanakufa kwa UVIKO-19 tu. Magonjwa mengine yote yaliacha kuua watu 😀. Maajabu ya UVIKO hayo!!
Sasa nikiangalia hata jinsi tu watu waishivyo hivi sasa, nikijumlisha na mwitikio wa watu juu ya chanjo, nashawishika kunena kuwa UVIKO-19 si ugonjwa mkali kama walivyotaka kutuaminisha.
Maana kwa Tanzania hii wala huhitaji kufanya utafiti wowote ule kuona kuwa asilimia 99.99 ya Watanzania [makisio yangu tu] hawana muda wa kuuwaza huo ugonjwa.
Watu wanapiga kazi kama kawaida, tena bila barakoa wala bibi yake barakoa. Hakuna cha kukaa mbalimbali na watu wenzio. Vyombo vya usafiri vinajaza watu kama kawaida. Sehemu za starehe ndo usiseme kabisa. Jaribu tu kwenda hata hapo Kitambaa Cheupe uone nyomi lake. Nenda kwenye masoko huko uone watu wanavyoendelea na mishe mishe.
To make a long story short, most Tanzanians don’t give a F… about COVID. And I dare say they were way ahead of the curve compared to the rest of the world as the stupid mask mandates and other ridiculous restrictions are being lifted.
We never had people drop dead in the middle of the streets.
We never had our healthcare facilities overwhelmed.
Massive big up to the Tanzanian massive!!!!!!
We showed the world how it’s done 💪💪.
Couldn’t be any prouder!
halafu baada ya kufariki tu kasi ya ugonjwa nayo ikapungua!!!Pole sana. Tupo wengi tuliopoteza watu wetu wa karibu. Wengi wa wanaopiga kelele hawaja-experince vifo kwa watu wa karibu. Na Tanzania walifariki watu wengi. Madhara ya uviko wa Tanzania hayajulikana kwani Magufuli aliamuru habari ifichwe. Kwa watu tuliofiwa na watu wa karibu tunajua hata vyeti vya vifo havikuandikwa wamefariki kwa uviko kutokana na amri kutoka juu.
mtu mzima mwenye taarifa kama hizi kichwani ni hasara kwa taifa.Hiyo ya enzi hizo ilikuwa kali sana. Mi nilipigwa 2021. Alimanusura... Ni jambo la kumshukuru Mungu. Kwa kweli usiombe. Mdudu kachukuwa mpaka maisha ya Rais wa nchi. Halafu mtu amekula makande yake huko anakuja hapa anajamba eti hakuna corona Tanzania!!
kuna kundi kubwa la wanaume kati ya miaka 18-40 ni wajinga kupita kiasi.Ivi mkuu umefikisha 18 years kwel, mbna unakua hovyo Ivo, yaan mpaka Leo unaamini magu kaondoshwa na covid.
Pumbav kabsa!
corona haimlazi mtu mpaka kukonda,hukutafiti vyema anaumwa kitu gani.Mwaka 2020 kuna mzee mmoja alikuwa mbishi sana na uviko anakaa Moshi..
Aliniambia corona hakuna kabisa na alikuwa anamsikiliza na kumwamini Magufuli kwa asilimia 100.
Nikaja kukutana naye baada ya miezi mitatu mbele.. Amepungua vibaya sana kama kilo 15 hivi. Akitembea anapepesuka..
Nikahisi nimemfananisha akaniambia alilazwa December 2020 yote KCMC kisa Corona.. Hakuweza kula ilikuwa ni dripu.. Na kidogo aage Dunia..
Alisema kwa mdomo wake mwenyewe Corona haina masihara
Huyo Mzee alikuwa na presha ya kawaida.. Ila uviko ilivyompata presha ikakataa kushuka.. Akazidiwa.. Hamu ya kula ikapoteacorona haimlazi mtu mpaka kukonda,hukutafiti vyema anaumwa kitu gani.
corona ni siku kadhaa tu.
akatibiwa na dawa gani???Huyo Mzee alikuwa na presha ya kawaida.. Ila uviko ilivyompata presha ikakataa kushuka.. Akazidiwa.. Hamu ya kula ikapotea