Habari,
Ni jambo la kusikitiaha kuwa watumiaji wengi wa Noah za Namanga Arusha Wanasafirisha bidhaa za Magendo
Na wenye bidhaa hizo hawavuki border Kwa kihalali.
Nina video ya Mzee mmoja hapa alichukua Rushwa jioni hii ila nimeingiwa na huruma huyu Mzee asije anapoteza kiinua mgongo chake.
Watu hawana document yeyote Lakini wanaenda Nairobi kama home vileTanzania ujinga mwingi sana.
Ndio wale wakipata matatizo wanakimbilia wanasiasa Ili kutengeneza scandal Kumbe wao Ndio wavunja sheria
Ni jambo la kusikitiaha kuwa watumiaji wengi wa Noah za Namanga Arusha Wanasafirisha bidhaa za Magendo
Na wenye bidhaa hizo hawavuki border Kwa kihalali.
Nina video ya Mzee mmoja hapa alichukua Rushwa jioni hii ila nimeingiwa na huruma huyu Mzee asije anapoteza kiinua mgongo chake.
Watu hawana document yeyote Lakini wanaenda Nairobi kama home vileTanzania ujinga mwingi sana.
Ndio wale wakipata matatizo wanakimbilia wanasiasa Ili kutengeneza scandal Kumbe wao Ndio wavunja sheria