MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #261
Hujui kuwa hata Kupenda Kwake Kukazwa sana pia ni sehemu yake ya huko kuwa na Mambo mengi ya Kufanya Ndugu?Mbona umenijibu kama unamambo mengi, mbona unajitekenya alaf unajicheka???
Eh ndege tunapokelea Zanzibar, mbona makubwa!Sukuma gang watulie, zama zao zimekwisha rasmi.
Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda bongoman.
Hebu tuwahi Zanzibar tukapokee ndege zetu mpya.
Ndio mjuwe hizi ni zama nyingine, si zama zile za kila siku jitu moja tu kwenye matukio yote na kujiona ndio ana akili kuliko watu wote.
Mkuu wamekosa hoja wanadhani kwa kusema sukuma gang(nadharia ya kipumbavu) basi wanamtetea mtu wao kufanya madudu.Hawa viumbe ni watu wa ovyo sana.Wao wanaamini wanawakomoa wasukuma, Kila kitu wanajificha nyuma ya hoja ya sukuma gang.Kuna watu sio wasukuma na wala hawana mafungamano yyt na hilo gang lkn hawakubaliani na hali iliyopo. Kitendo cha wao kuendelea kuhubiri ubaguzi wa sukuma gang ni kutengeneza bomu hatari sana.
Kuna mambo yalifanyika pia kwenye mtandao ambayo yalinihakikishia kubwa system nzima ipo makini na imara.Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Hakufa kama digidigi ndomaana anaitwa hayati, subiri afe mlala hoi kwenye ukoo wenu uone kama kuna mtu atajisumbua kumuita Hayati.Binafsi naona neno hayati linatumika vibaya when it comes kwa Jiwe, labda tubaki na ile maana ya kuwa na cheo kikubwa au umashuhuri tu.
Na ndege moja imeandikwa Zanzibar nyingine ya pili imeandikwa Tanzanite.Eh ndege tunapokelea Zanzibar, mbona makubwa!
Mwananchi wa kawaida (machinga) kama wewe, utaelewaje mambo ya serikalini?Mh!?? Ukiwa unasoma huku mitandaoni, unaweza dhani nchi inawaka moto, kumbe wala, nchi ipo shwari na imara kabisa.
Ndo mfanye mpango aendelee kuwepo siku zote Ili wakojani meundelee kuneemeka, asije kuingia mwingine akawafurusha.Na ndege moja imeandikwa Zanzibar nyingine ya pili imeandikwa Tanzanite.
Awamu ya sita muungano huu ni pasu kwa pasu kwa kila hatua.
Hata teuzi sasa hivi akiteuliwa mmatumbi na mkojani lazima awepo.
Government ni kitu kisichoweza kuyumbishwa kwako wewe?Problem ni kwamba uwezo wako hauna ujanja zaidi ya mawazo yako ya kufikirika.
Let me assure you that hakuna RED LIGHT wala BLUE LIGHT itakayotikisa serikali,my friend usicheze na Govt na hicho ulicho andika nikuombe kiwe cha mwisho na wala usirudie tena.
Hakuna hatari yyte usitishe watu zamu yenMpaka nimeandika jua kuna Hatari Ndugu.
Hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu anakosa washauri, kwani Mama kupata ushauri kwa Kikwete au mtu mwingine yeyote kuna shida gani? Kama ushauri huo unaisaidia nchi kuna tatizo gani? Hizi hisia za chuki na kuitakia mabaya nchi siyo jambo la muhimu kwetu na afadhali ukae na hisia zako moyoni kuliko kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyoKuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Umenunua juzi ka infinix kako, umekaa kwa shemeji yako na bando lako la buku upo busy kuperuzz jF.Hakuna hatari yyte usitishe watu zamu yen
u imekwisha, mmetesa watu Sana ,nyamaza kazi iendele
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sasa kama kumbe hili unalijua katika huu Uzi wangu umefuata nini? au Unawashwawashwa tu Kunako?Mh!?? Ukiwa unasoma huku mitandaoni, unaweza dhani nchi inawaka moto, kumbe wala, nchi ipo shwari na imara kabisa.
Ramaphosa amemteuwa Mo Dewji kuwa mshauri wake wa uwekezaji, sasa mama akishslauliwa na Rais mstaafu shida iko wapi?Hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu anakosa washauri, kwani Mama kupata ushauri kwa Kikwete au mtu mwingine yeyote kuna shida gani? Kama ushauri huo unaisaidia nchi kuna tatizo gani? Hizi hisia za chuki na kuitakia mabaya nchi siyo jambo la muhimu kwetu na afadhali ukae na hisia zako moyoni kuliko kuandika vitu ambavyo huna uhakika navyo
Sawa Jakaya Kikwete Raia tumekusikia.Kwa mtazamo wangu Tanzania kwa sasa hakuna mwanasiasa/kiongozi mwenye akili, mbinu na maarifa kumzidi Jakaya Kikwete. Naamini nchi haiwezi kuharibika endapo JK yuko hai na kwahiyo Mama hana sababu ya kujitenga na ushauri wa JK.
With I'll motive, hamna jipya.Mwananchi wa kawaida (machinga) kama wewe, utaelewaje mambo ya serikalini?
Na huenda bado unakula Ugali wa mtu.