Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake

Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake

Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Watu wa kanda ya ziwa ndo kina nani?

Nyie ni wapumbavu tu na hamuwezi kufanya chochote zaidi ya kujijaza ujinga.

Eti magu kauliwa.

Mtu kaidharau covid imemuangusha mnakuja na dhahania zenu.

Kubalini tu kwamba si zamu yenu kutamba tena.
 
Sukuma gang watulie, zama zao zimekwisha rasmi.

Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda bongoman.

Hebu tuwahi Zanzibar tukapokee ndege zetu mpya.

Ndio mjuwe hizi ni zama nyingine, si zama zile za kila siku jitu moja tu kwenye matukio yote na kujiona ndio ana akili kuliko watu wote.

kwa sasa mission ni kuwakomoa mataga kuliko kujishughulisha na matako yenu binafsi ambayo huwenda yanakwisha kwa kutumika bila habari.
 
Kwa zile Kashfa, matusi mazito, kejeli, kuvuja kwa siri nzito za serikali kutokea sehemu ambayo huwezi dhania.

Kisha leo ghafla ukurasa uleule unageuka kuwa rafiki wa serikali mpya baada ya kifo cha Hayati Magufuli inatia mashaka sana nani ni mhusika wa ukurasa ule?

Aendelee kupumzika Shujaa wa Tanzania mpya.
Muhusika mama samia na makamba.

Haya wasukuma jiungeni mkawaue.
 
Sukuma gang watulie, zama zao zimekwisha rasmi.

Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda bongoman.

Hebu tuwahi Zanzibar tukapokee ndege zetu mpya.

Ndio mjuwe hizi ni zama nyingine, si zama zile za kila siku jitu moja tu kwenye matukio yote na kujiona ndio ana akili kuliko watu wote.
Aisee niandalie tende na halwa pamoja na kahawa, najiandaa kuja huko. Kama utaweza pia naomba niwekee na al kasusi.
 
mzee tabasamu alijua kula mema ya nchi na hiyo ndio starehe yake.

kitendo cha jiwe the great kupindua meza ya mazoea,kilikuwa ukatili mkubwa sana kwake.
isingekuwa rahisi apate nafasi adhimu hii kwa mara ya pili halafu ajivunge.

kuna mtz mizumbukuku,ipo ipo tu eti mataga wataisoma namba,kodi nyingi zinapoletwa kwenye meza kilioo.

acha mama aupige mwingi,kwenye wallpaper.
 
Kuna Hatari fulani nimeanza Kuiona, kuna maneno fulani nimeanza Kuyasikia na kuna Mipango fulani ya Kukomoana na Kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza Kuisikia pia.

Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni Tv Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama Watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja ( kutokea )

Na Wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.

Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!!!
Hata magufuli alikua anaendeshwa na mkapa.
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Binafsi naona neno hayati linatumika vibaya when it comes kwa Jiwe, labda tubaki na ile maana ya kuwa na cheo kikubwa au umashuhuri tu.
 
...
IMG_20210311_111725.jpg
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Hakuna kibaya chochote kilitendeka kwa Hayati Magufuli,siku za uhai wake duniani zilikwisha,sasa hivi yupo ktk maisha ya kaburini na siku hizi zitaisha halafu atakwenda ktk maisha ya milele.
Hizo stages siyo kwake tu,bali kwetu soote.
TUMUOGOPE MWENYEZIMUNGU
 
Hii akili ya Sukuma Gang kwa kila andiko ni kufilisika kimawazo na ni lugha chafu ya kiubaguzi. Mimi si Msukuma ila naamini usawa na udugu tulioujenga kwa miaka mingi. Jadili hoja acha kuhamisha mjadala kwa lugha zako mfilisi za ukabila .SHAME ON YOU
Wewe Sukuma Gang usawa ndio mnaujua na kuutaka kipindi hiki,wakati wa marehemu mungu wenu wa Chato mbona hamkukemea udhalimu na ubaguzi uliokuwa unafanyika wazi wazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.

Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)

Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.

Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!

Hakuna binadamu atapendwa au kuchukiwa na watu wote. Watu wa kanda ya Ziwa nikiwamo mimi hata tusipompenda au kumuongelea vizuri mama, ni sawa tu, Tanzania ina kanda nyingi, labda huko kwingine watamuongelea vyema. Kazi iendelee...
 
Ndugu inawezekana ni kweli kabisa.
Kuna vitu vinaashiria kuwa ana ushauri mkubwa.

Hivi juzi Kati kuna nchi iliomba Watanzania waruhusiwe kuuza mchele na kuku nchini humo kama matokeo wawakilishi walienda kufanya mazungumzo na hiyo nchi(jina kapuni) baada ya kufikia muafika hiyo team ilivyo rudi bongo mzee wa rimoti akapanga safari kwenda huko kwenye hilo soko akiwa na jina la kampuni yake mfukoni. Baada ya kufika huko akapendekeza kuwa hiyo Kazi ya ku supply hivyo vitu ifanywe na hiyo kampuni tu na si mtanzania yeyote.

Mpango wake ulitiki. Binafsi hili suala limenisikitisha Sana kwa kiongozi mkubwa kama huyo kuziba fursa za wafanya biasha wengine. Ni hatari sana
Kweli wewe zwazwa,kwa hiyo kampuni wanazalisha mchele peke yao hapa Tanzania,je mazao mengine kama korosho kila mkulima anapeleka mwenyewe sokoni huko nje ya Nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom