Uvumi kuwa Mzee Kikwete yupo nyuma ya Uongozi wa Rais Samia unaweza kuwa Kikwazo cha Ufanisi na chanzo cha kuhujumiwa kwake

Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Watu wa kanda ya ziwa ndo kina nani?

Nyie ni wapumbavu tu na hamuwezi kufanya chochote zaidi ya kujijaza ujinga.

Eti magu kauliwa.

Mtu kaidharau covid imemuangusha mnakuja na dhahania zenu.

Kubalini tu kwamba si zamu yenu kutamba tena.
 

kwa sasa mission ni kuwakomoa mataga kuliko kujishughulisha na matako yenu binafsi ambayo huwenda yanakwisha kwa kutumika bila habari.
 
Muhusika mama samia na makamba.

Haya wasukuma jiungeni mkawaue.
 
Aisee niandalie tende na halwa pamoja na kahawa, najiandaa kuja huko. Kama utaweza pia naomba niwekee na al kasusi.
 
mzee tabasamu alijua kula mema ya nchi na hiyo ndio starehe yake.

kitendo cha jiwe the great kupindua meza ya mazoea,kilikuwa ukatili mkubwa sana kwake.
isingekuwa rahisi apate nafasi adhimu hii kwa mara ya pili halafu ajivunge.

kuna mtz mizumbukuku,ipo ipo tu eti mataga wataisoma namba,kodi nyingi zinapoletwa kwenye meza kilioo.

acha mama aupige mwingi,kwenye wallpaper.
 
Hata magufuli alikua anaendeshwa na mkapa.
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Binafsi naona neno hayati linatumika vibaya when it comes kwa Jiwe, labda tubaki na ile maana ya kuwa na cheo kikubwa au umashuhuri tu.
 
Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.

Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Hakuna kibaya chochote kilitendeka kwa Hayati Magufuli,siku za uhai wake duniani zilikwisha,sasa hivi yupo ktk maisha ya kaburini na siku hizi zitaisha halafu atakwenda ktk maisha ya milele.
Hizo stages siyo kwake tu,bali kwetu soote.
TUMUOGOPE MWENYEZIMUNGU
 
Hii akili ya Sukuma Gang kwa kila andiko ni kufilisika kimawazo na ni lugha chafu ya kiubaguzi. Mimi si Msukuma ila naamini usawa na udugu tulioujenga kwa miaka mingi. Jadili hoja acha kuhamisha mjadala kwa lugha zako mfilisi za ukabila .SHAME ON YOU
Wewe Sukuma Gang usawa ndio mnaujua na kuutaka kipindi hiki,wakati wa marehemu mungu wenu wa Chato mbona hamkukemea udhalimu na ubaguzi uliokuwa unafanyika wazi wazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakuna binadamu atapendwa au kuchukiwa na watu wote. Watu wa kanda ya Ziwa nikiwamo mimi hata tusipompenda au kumuongelea vizuri mama, ni sawa tu, Tanzania ina kanda nyingi, labda huko kwingine watamuongelea vyema. Kazi iendelee...
 
Kweli wewe zwazwa,kwa hiyo kampuni wanazalisha mchele peke yao hapa Tanzania,je mazao mengine kama korosho kila mkulima anapeleka mwenyewe sokoni huko nje ya Nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…