Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Kamfufueni mungu wenu aje apambane nao, mna chuki Sana na Kikwete na SamiaMsoga gang wamerudi on fire, tulimwona yule joka la mdimu wa goli la dk ya 89 kule akimwimbia mama mapambio kwa bashasha zote.......na kwenye kuziba pengo lililotokea hivi karibuni kuna uwezekano mkubwa member mwingine kutoka timu msoga gang akatimba ndani, hii ndo inaitwa 'return of the roman empire' tunaenda kuwa koloni la wachina....
Uzuri mama anafahamu vizuri, hatuhitaji kura kushinda uchaguzi wa Urais.Ukweli uliopo ni JK kupigwa vita sana na kale kakikundi kakiamini uwepo wa JK ndio sumu kwao kumuoverun mama na kumcontrol ili waendeleze yale maupumbavu yao pamoja kuhakikisha nchi iko himayani kwao milele..
Baada ya kifo cha Mzee inaonekana yale yaliyosemwa na jamaa wa kule twitani yalikuwa na ukweli...na hapo naamini ndio chuki kwa JK ilipoanzia baada ya kuweka msimamo wa kuilinda katiba na kuhakikisha mama anakalia kiti....
Uvumi unaoendelea na kuenea kwa kasi lengo kuu ni kumtisha mama na walionyuma yake juu ya mustakabali wake na nchi huko kanda ya ziwa ili mama aogope arudi upande wao na wao wamuongoze wawezavyo....jambo walitendalo linaweza kuleta hatari kwa Tanzania yote na hata wao hawawezi kuwa salama...Ni vyema vyomba vya usalama vikaanza kudeal na wahusika kimyakimya kuliko hatari iliyombele..
Tusipokuwa makini game hii inaweza kuingiliwa na mafisi waliojirani kama PK na M7 kuzidi kupandikiza chuki maeneo fulani na kutoa support kwa wapumbavu hawa na matokeo yake hali kuwa mbaya maeneo hayo..
Hawa Sukuma Gang Wana chuki na Kikwete, wanachuki pia na Samia,Binafsi sijaona tatizo lolote hata kama Rais Samia anaomba ushauri kwa JK, Sababu duniani kote marais walioko madarakani hawezijitenga na watangulizi wake kwakua ndio hazina ya ushauri wa mambo mbalimbali!
Juzi waziri wa usafirishaji Makame Mbalawabkapokea mabehewa bandarini, na leo Rais Mwinyi ndio anapokea ndege Zanzibar.Lilikuwa linataka lionekane yeye tu kwenye Media
Sukuma gang ni Kama mafukuriko huwezi yakwepa,ndiyo maana mtemi Hangaya kaenda Kanda ya ziwa Mara nyingi zaidi kuliko Kanda yoyote.Mtemi Hangaya anajua ukiweza kushawishi Kanda hii ushindi ni asubuhi.Asante kunisaidia kuwajibu hao sukuma Gang,..kipindi cha mwenda zake walijiona wenyewe ndo vijeba😂😂😂
Sukuma gan'g mbona mnahangaika sana, tulieni dawa iwaingie kila zama na kitabu chakeLeo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.
Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Ss kama mlikuwa mnahujumiana wenyewe kwa wenyewe mlitaka tuwasaidiaje?,hebu tulieni hizi zama nyingine ukurasa wenu ukishafungwaKwa zile Kashfa, matusi mazito, kejeli, kuvuja kwa siri nzito za serikali kutokea sehemu ambayo huwezi dhania.
Kisha leo ghafla ukurasa uleule unageuka kuwa rafiki wa serikali mpya baada ya kifo cha Hayati Magufuli inatia mashaka sana nani ni mhusika wa ukurasa ule?
Aendelee kupumzika Shujaa wa Tanzania mpya.
Duh...isije ikawa kwenye Uzi huu Kuna wabwia unga na wanywa kangaraSukuma gang watulie, zama zao zimekwisha rasmi.
Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda bongoman.
Hebu tuwahi Zanzibar tukapokee ndege zetu mpya.
Ndio mjuwe hizi ni zama nyingine, si zama zile za kila siku jitu moja tu kwenye matukio yote na kujiona ndio ana akili kuliko watu wote.
Na ww ni mnafiki hili ni jukwaa huru, kwanini usiitaje hio kampuni au jina la mmilikiNdugu inawezekana ni kweli kabisa.
Kuna vitu vinaashiria kuwa ana ushauri mkubwa.
Hivi juzi Kati kuna nchi iliomba Watanzania waruhusiwe kuuza mchele na kuku nchini humo kama matokeo wawakilishi walienda kufanya mazungumzo na hiyo nchi(jina kapuni) baada ya kufikia muafika hiyo team ilivyo rudi bongo mzee wa rimoti akapanga safari kwenda huko kwenye hilo soko akiwa na jina la kampuni yake mfukoni. Baada ya kufika huko akapendekeza kuwa hiyo Kazi ya ku supply hivyo vitu ifanywe na hiyo kampuni tu na si mtanzania yeyote.
Mpango wake ulitiki. Binafsi hili suala limenisikitisha Sana kwa kiongozi mkubwa kama huyo kuziba fursa za wafanya biasha wengine. Ni hatari sana
Hivi,ma Kima kma wewe huwa najiuliza ulijua vipi hata kama kuna JF???Tatizo la nyie Sukuma Gang hamtaki kukosolewa,..ona comments zako zinavyo kuumbua
Acha izo Genta! Mambo ya watu wenye chuki zao dhidi ya Mzee wa watu ndo unaleta humu!Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Bahati nzuri ccm wala haiitaji kupigiwa kura kushinda uchaguzi.Sie tunawaomba wapinzani vyama vyote wajitahidi 2025 hata wasimamishe mawe tu ilimradi yakiwepo sie hatutakuwa na hiana. Serikali iliyoamua kutumia mtindo wa majibizano na majivuno kama waimba taarabu dawa yao tushaijua ..tunaanza na uchaguzi wa ndani 2022
Mikwara si mizuri, mijadala ni afya kwa taifa. Jibu kwa hoja ndio ustaarabu.Problem ni kwamba uwezo wako hauna ujanja zaidi ya mawazo yako ya kufikirika.
Let me assure you that hakuna RED LIGHT wala BLUE LIGHT itakayotikisa serikali,my friend usicheze na Govt na hicho ulicho andika nikuombe kiwe cha mwisho na wala usirudie tena.
Hakuna kitu kibaya Wala taaa Nyekunduu watu wa Kanda ya ziwa gani unaowaongelea? Malipo ni hapa hapa DunianiKuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!
Ndugu ulichokiandika katika Paragraph yako ya Pili kipigie Mstari kwani ndiyo Ukweli wenyewe na Wenyewe kimya kimya wanasema wanajiandaa Kulipiza Kisasi ( japo Mightier ) sijajua ni aina gani ya Kisasi.Leo umeongea point kubwa mwenye maskio na asikie, na hizi kejeli zinazoendelea juu ya Hayati Magufuli tujipe muda tu.
Kwa ufupi watu wa kanda ya ziwa kwa 100% wanajua ya kwamba kuna kitu kibaya kilitendeka kwa Hayati
Mazuri gani ambayo Rais Mstaafu Kikwete kafanya kwa Tanzania alipokuwa Rais?Sio kila uvumi ni WA kutilia maamani,mengine ni upuuzi kwa hiyo unapotezea..
Hata hivyo hivyo JK ni mtu wa heshima na amefanya Kazi kubwa Tzn na ndio Mkuu wa Nchi aliyebaki kwa ushauri baada ya wengine kitangulia,hata Mwendazake alikuwa ana mconsul na hakuna tatizo hata Samia kuwa nyuma yake.
Mwisho kwani hujawahi sikia Obama yuko nyuma ya Biden? Tatizo liko wapi?
You nailed it BroUkweli uliopo ni JK kupigwa vita sana na kale kakikundi kakiamini uwepo wa JK ndio sumu kwao kumuoverun mama na kumcontrol ili waendeleze yale maupumbavu yao pamoja kuhakikisha nchi iko himayani kwao milele..
Baada ya kifo cha Mzee inaonekana yale yaliyosemwa na jamaa wa kule twitani yalikuwa na ukweli...na hapo naamini ndio chuki kwa JK ilipoanzia baada ya kuweka msimamo wa kuilinda katiba na kuhakikisha mama anakalia kiti....
Uvumi unaoendelea na kuenea kwa kasi lengo kuu ni kumtisha mama na walionyuma yake juu ya mustakabali wake na nchi huko kanda ya ziwa ili mama aogope arudi upande wao na wao wamuongoze wawezavyo....jambo walitendalo linaweza kuleta hatari kwa Tanzania yote na hata wao hawawezi kuwa salama...Ni vyema vyomba vya usalama vikaanza kudeal na wahusika kimyakimya kuliko hatari iliyombele..
Tusipokuwa makini game hii inaweza kuingiliwa na mafisi waliojirani kama PK na M7 kuzidi kupandikiza chuki maeneo fulani na kutoa support kwa wapumbavu hawa na matokeo yake hali kuwa mbaya maeneo hayo..
Kuna ambacho hatukioni nyuma ya Samia kuwepo JK. Ni amani na utulivu wa Tanzania. Miaka yanyuma kidogo wakati Mkapa na Magufuli walipokuwa wamepiga picha ya pamoja. Walikuwepo marais wanne wenye nyuso zenye tabasamu.Huwezi kuipata picha ya aina ile kwingineko barani afrika. JK anamsaidia Rais Samia akiwa na hazina ya uzoefu wa diplomasia na masuala mengi ya kiuongozi.Kuna hatari fulani nimeanza kuiona, kuna maneno fulani nimeanza kuyasikia na kuna Mipango fulani ya kukomoana na kuhujumiana ndani kwa ndani nimeanza kuisikia pia.
Mimi sina uhakika kuwa kwa sasa Rais Samia ni TV Screen tu ila Rais Mstaafu Kikwete ndiye Remote Control kama watu wasemavyo, ila kama hili lina Ukweli basi kuna Hatari moja Kubwa ndani ya CCM na Serikali naiona inaenda kuja (kutokea)
Na wewe Rais Mstaafu Kikwete kama ni kweli una Ushawishi mkubwa katika Utawala huu wa Rais Samia tafadhali jishtukie upesi, kaa mbali nae na mwachie Mama nae atengeneze Legacy yake kwa huongelewi vyema na Watu wa Kanda ya Ziwa hasa baada ya Tukio Kubwa nchini la tarehe 17 Machi, 2021.
Kuna Taa Nyekundu ninaiona mahala!