Nchi hii tambua wasukuma ndio wanailisha,pia tambua wasukuma tunao changia asilimia kubwa uchumi wa taifa hili,## Tunataka Uhuru wetu,tunata kanda ya ziwa itambulike kama taifa huru.....Maskini nyie si mtakufa ? Kwanza una habari mwaka huu kuna ukame huko kwenu? Tuone kama mtakula dhahabu kenge nyie.
Nilikutana na mwana Medani Mmoja tena Mwandamizi tu Ndugu na alichoniambia kuhusu Mpango uliokuwepo wa Kumuwahisha Mwamba Udongoni Geita na Kunitajia Wasuka Mipango Wakuu kama Wanne hivi nimebaki Kushikwa na Butwaa tu.Ni swala la mda tu shekh wangu. na ukiona mtu anaponda saaana habari ya Mwendazake wala usijali ndio dhana harisi ya upinzani
Ndio kawaida ya binadamu hata ufanyeje hawaishi kukosoa
Mkumbuke rais pendwa wa America bw JF Kennedy
Mwendazake huyu alifanya makuu kwa taifa lake lakini hao hao ndio walio mgeuka na kummaliza
Wanoongoza kwa kupata njaa na umaskini wanaweza kumlisha nani? Nimekwambia una habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna ukame? Umeshajiandaa kisaikolojia lakini au unajifariji hapa?Nchi hii tambua wasukuma ndio wanailisha,pia tambua wasukuma tunao changia asilimia kubwa uchumi wa taifa hili,## Tunataka Uhuru wetu,tunata kanda ya ziwa itambulike kama taifa huru.....
aiseeeeeBahati nzuri ccm wala haiitaji kupigiwa kura kushinda uchaguzi.
Iko hivi, mama anamalizia miaka minne ya chizi wa Chato.
2025 anaanza mitano ya kwake, 2030 mitano tena jumla 10, halafu wazalendo wa kweli wa Taifa hili tunampa mitano mingine ya shukrani mpaka 2035.
Kwahiyo wasukuma mngeelekeza nguvu zenu katika ujenzi wa vyoo kwa wakazi wa pembeni ya ziwa Victoria waache tabia ya kunya ziwani.
Lazima amshukuru JK ndio msuka mipango,akina Mabeyo ni zao la JK huko Jeshini .Mama Samia asimshukuru JK kwa urais wake, amshukuru sana Meja Jeneral Mabeyo aliucheza mchezo wote baada ya kifo cha JPM.
Ndiye aliyefanya mipango ya kumpiga shaba Mama ikwame na akapelekwa kwenye nyumba moja akatangaza kifo cha aliyekuwa bosi wake.
Waliokuwa karibu na hayati sio watu wazuri hata kidogo, walichosahau ni kuwa nchi hii iliwekwa chini ya Ulinzi maalum wa Mama Bikira tangu usiku wa kuamkia tarehe 9-12-1961.
huna akili wewe, subr uone show 2025. Sukuma gang n kama maji utake usitake utayanywa tuuu, ndo wenye turufu ya uongoz wa nchi kama ulikuwa hujui.Sukuma gang watulie, zama zao zimekwisha rasmi.
Hakuna cha kanda ya ziwa wala kanda bongoman.
Hebu tuwahi Zanzibar tukapokee ndege zetu mpya.
Ndio mjuwe hizi ni zama nyingine, si zama zile za kila siku jitu moja tu kwenye matukio yote na kujiona ndio ana akili kuliko watu wote.
Punguza hasira shekh wangu muungano wa taifa hili chimbuko lake ni kanda ya ziwa kwa maana ya kiongozi shupavu Mwl JK NyerereKwanini viongozi wakitoka kanda ya ziwa wanachukiwa kama hawatutaki watu wa kanda ya ziwa, basiwatuache tujitawale #Tunataka Uhuru wetu tunataka kanda ya ziwa nchi yetu, tujitawale tuone tutakavyo piga hatua kuliko nyinyi watanzania, nadhani tutakuwa Taiwan mpya
Kikubwa iwe usiku iwe mchana kanda ya ziwa lazima tujitenge...Wanoongoza kwa kupata njaa na umaskini wanaweza kumlisha nani? Nimekwambia una habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna ukame? Umeshajiandaa kisaikolojia lakini au unajifariji hapa?
Uchumi gani mnaochangia nyie kenge? Ona hapa chini 👇
View attachment 1967930
😀😀😃😃 Vipi ulinzi wa mahelikopta,jammers,majeshi,sijui wanyarwanda na takataka zingine havikuwasaidia?Nilikutana na mwana Medani Mmoja tena Mwandamizi tu Ndugu na alichoniambia kuhusu Mpango uliokuwepo wa Kumuwahisha Mwamba Udongoni Geita na Kunitajia Wasuka Mipango Wakuu kama Wanne hivi nimebaki Kushikwa na Butwaa tu.
Ila aliniambia kuwa lawama zao pia wanazipeleka kwa Mwamba Usingizini kwani walishamuonya mara nyingi kuwa nao Makini ila Yeye hakuwasikia na badala yake akaendelea Kuwaamini na Mmoja wao katika huo Mpango anatokea huko huko katika Kanda yake yenye Ziwa la Mwanamke wa Kiingereza.
Pumzika zako tu Mwamba watakulipia.
Nimekuogopa kwa taarifa hii Uliyo andika hapa ✍🏾Mama Samia asimshukuru JK kwa urais wake, amshukuru sana Meja Jeneral Mabeyo aliucheza mchezo wote baada ya kifo cha JPM.
Ndiye aliyefanya mipango ya kumpiga shaba Mama ikwame na akapelekwa kwenye nyumba moja akatangaza kifo cha aliyekuwa bosi wake.
Waliokuwa karibu na hayati sio watu wazuri hata kidogo, walichosahau ni kuwa nchi hii iliwekwa chini ya Ulinzi maalum wa Mama Bikira Maria tangu usiku wa kuamkia tarehe 9-12-1961.
Nimemuelewa anapoongelea wasukuma. Hao wana mikoa mitano ya kabila lao pekee, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Simiyu na Geita. Jumlisha hiyo mikoa mitano yote ni ya kabila la wasukuma.Wanoongoza kwa kupata njaa na umaskini wanaweza kumlisha nani? Nimekwambia una habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna ukame? Umeshajiandaa kisaikolojia lakini au unajifariji hapa?
Uchumi gani mnaochangia nyie kenge? Ona hapa chini 👇
View attachment 1967930
Utaishia kujifariji kwenye mitandao kama wenzio machadema ila kamwe huwezi thubutu hata kuongea popote zaidi ya humu na tukitaka kukutafuta tutakupata but ni vile hauna impacts tunakupoteszea.Katika namba
Kikubwa iwe usiku iwe mchana kanda ya ziwa lazima tujitenge...
Refer mabadiliko kadhaa huko juu kwa baadhi ya watu waliokuwa karibu na HayatiNilikutana na mwana Medani Mmoja tena Mwandamizi tu Ndugu na alichoniambia kuhusu Mpango uliokuwepo wa Kumuwahisha Mwamba Udongoni Geita na Kunitajia Wasuka Mipango Wakuu kama Wanne hivi nimebaki Kushikwa na Butwaa tu.
Ila aliniambia kuwa lawama zao pia wanazipeleka kwa Mwamba Usingizini kwani walishamuonya mara nyingi kuwa nao Makini ila Yeye hakuwasikia na badala yake akaendelea Kuwaamini na Mmoja wao katika huo Mpango anatokea huko huko katika Kanda yake yenye Ziwa la Mwanamke wa Kiingereza.
Pumzika zako tu Mwamba watakulipia.
Mabeyo baada ya kupata taarifa za kina, akampa taarifa afisa usalama mmoja ameshastaafu anaishi Tanga ndiye aliyemlinda Mama wakati taifa limepata msiba mkubwa na haijatangazwa rasmi.Nimekuogopa kwa taarifa hii Uliyo andika hapa ✍🏾
Sheikh uvumilivu ni mgumu, suluhu hapa ni jujitenga tu hali hii kwa baadaye itakuwa mbaya sana, kanda ya ziwa baadaye hatutashika nyadhifa zotezote katika nchi hii, suluhu yetu ni kujitenga ,kanda ya ziwa tunajitisheleza kwa rasilimali tulizonazo..Punguza hasira shekh wangu muungano wa taifa hili chimbuko lake ni kanda ya ziwa kwa maana ya kiongozi shupavu Mwl JK Nyerere
kuweni wavumilivu tu kwenye hii vita ya TEAM BARA na TEAM PWANI
Hakuna kabila lenye mikoa 5,tangu lini Tabora inakaliwa na wasukuma? Sasa mikoa 5 ndio inaweza fanya nini hapa Tzn?Nimemuelewa anapoongelea wasukuma. Hao wana mikoa mitano ya kabila lao pekee, Mwanza, Shinyanga, Tabora, Simiyu na Geita. Jumlisha hiyo mikoa mitano yote ni ya kabila la wasukuma.
Na ulinzi ukaimarishwa zaidi ya ujuavyo si ndio? Nitakuwa nafuatilia michango yako kwa ukaribu mno bwana Phillipo BukililoMabeyo baada ya kupata taarifa za kina, akampa taarifa afisa usalama mmoja ameshastaafu anaishi Tanga ndiye aliyemlinda Mama wakati taifa limepata msiba mkubwa na haijatangazwa rasmi.
Ila amini na weka akili, mkiendeleza itikadi zenu za kikanda nakuundermine watu wa kanda ya ziwa, IPO siku mpasuko mkubwa katika taifa hili utatokea, soon kanda ya ziwa itatambulika kama taifa huru....Utaishia kujifariji kwenye mitandao kama wenzio machadema ila kamwe huwezi thubutu hata kuongea popote zaidi ya humu na tukitaka kukutafuta tutakupata but ni vile hauna impacts tunakupoteszea.
La sivyo anzisha hata thread hapa ya kujitenga uone moto
Shekh kwa kifupi hii ni story ndefu saana inayohusisha watu kibao ndani ya nchi pia na nje ya nchi piaNilikutana na mwana Medani Mmoja tena Mwandamizi tu Ndugu na alichoniambia kuhusu Mpango uliokuwepo wa Kumuwahisha Mwamba Udongoni Geita na Kunitajia Wasuka Mipango Wakuu kama Wanne hivi nimebaki Kushikwa na Butwaa tu.
Ila aliniambia kuwa lawama zao pia wanazipeleka kwa Mwamba Usingizini kwani walishamuonya mara nyingi kuwa nao Makini ila Yeye hakuwasikia na badala yake akaendelea Kuwaamini na Mmoja wao katika huo Mpango anatokea huko huko katika Kanda yake yenye Ziwa la Mwanamke wa Kiingereza.
Pumzika zako tu Mwamba watakulipia.