Pengine wana maslahi na hilo jambo na liko funded kwa maslahi flani ILA JOHN kuwa msukuma au kutokuwa haina maana ubaya au uzuri wake ni wa wasukuma wote hilo jambo lina makusudi maalum na tutayaona kuelekea 2025Watu wanawachafua wasukuma wote wakati huenda john hakuwa msukuma, labda alikulia na kuishi tu huko....