comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Akaunti ya X zamani Twitter yenye jina la Tanzania Leaks ni ya MH. Godbless Lema mbunge wa zamani wa Arusha. Mwaka 2020 Lema alipoteza jimbo hilo na bado anaamini Arusha ni yeye na yeye ni Arusha.
Uvumi wa Makonda na kuhusishwa kwa Gambo kuwa alimpa Makonda sumu ni mchezo mchafu wa kisiasa na siasa za Lema

Tanzania Leaks
@TanzaniaLeaks
·
4h
Wahuni & Gambo walishirikiana kumpa Bashite Sumu. Alikimbizwa Dubai, lakini kwa sababu Wahuni wana connection kubwa Dubai, TISS waliogopa na kumpeleka South Africa. Hali ya Bashite haitabiriki, wiki 2 zilizopita hali ilikuwa mbaya sana. Akaja kuwa Sawa, hali yake inayumba sana.
View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1822109556341690599/photo/1
Uvumi wa Makonda na kuhusishwa kwa Gambo kuwa alimpa Makonda sumu ni mchezo mchafu wa kisiasa na siasa za Lema

Tanzania Leaks
@TanzaniaLeaks
·
4h
Wahuni & Gambo walishirikiana kumpa Bashite Sumu. Alikimbizwa Dubai, lakini kwa sababu Wahuni wana connection kubwa Dubai, TISS waliogopa na kumpeleka South Africa. Hali ya Bashite haitabiriki, wiki 2 zilizopita hali ilikuwa mbaya sana. Akaja kuwa Sawa, hali yake inayumba sana.
View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1822109556341690599/photo/1