Uvumi wa Makonda kulishwa sumu na Gambo ni siasa chafu Lema

Uvumi wa Makonda kulishwa sumu na Gambo ni siasa chafu Lema

Hakupewa sumu yoyote. Zile zilikuwa porojo za Magufuli. Hata yeye alikuwa anapiga debe eti alilishwa sumu. Uongo mtupu.
Kumbe Kuna porojo kwenye uhai na maisha ya watu SI ndio!!?

Hako kautamaduni ka porojo kwenye maisha ya watu ndio hako hako hata Raid akiumwa tunafanya Siri na kupiga porojo Hadi kifo kinatuumbua!na Sasa tunapiga porojo kuhusu makonda na afya.yake!

Chama kinaendekeza porojo tu!
 
Akaunti ya X zamani Twitter yenye jina la Tanzania Leaks ni ya MH. Godbless Lema mbunge wa zamani wa Arusha. Mwaka 2020 Lema alipoteza jimbo hilo na bado anaamini Arusha ni yeye na yeye ni Arusha.
Uvumi wa Makonda na kuhusishwa kwa Gambo kuwa alimpa Makonda sumu ni mchezo mchafu wa kisiasa na siasa za Lema



Tanzania Leaks
@TanzaniaLeaks
·
4h

Wahuni & Gambo walishirikiana kumpa Bashite Sumu. Alikimbizwa Dubai, lakini kwa sababu Wahuni wana connection kubwa Dubai, TISS waliogopa na kumpeleka South Africa. Hali ya Bashite haitabiriki, wiki 2 zilizopita hali ilikuwa mbaya sana. Akaja kuwa Sawa, hali yake inayumba sana.

View: https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1822109556341690599/photo/1


Wewe comte ni wa
Kike
Kiume
Shamale ?
 
Tunachoweza kujifunza ni kwamba maneno huumba. Hivyo ni muhimu kutafakari kabla ya kutamka chochote iwe kwa hasira au kwa utani ... Lisemwalo huja.

Wapo waliojitabiria vifo na ikatokea. wapo waliojitabiria kunyweshwa sumu ikatokea na wapo waliojitabiria kutekwa ikatokea kweli.....Tuwe na akiba ya maneno na hasa kwa viongozi kwenye jamii pale wanapokuwa mimbarini.
 
Sasa Ukipewa Cheo Ujiandae Kulamba Dawa Ufe Haraka
CCM Ilijivua Gamba Gani Kama Mpaka Sasa Upuuzi Huu Unaendelea
 
Back
Top Bottom