Uvumilivu wa Kidini; Bomu zaidi ya "Nyuklia" kwa Watanzania wengi (eeh Mungu tuepushe)

Uvumilivu wa Kidini; Bomu zaidi ya "Nyuklia" kwa Watanzania wengi (eeh Mungu tuepushe)

mchemsho

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
3,230
Reaction score
933
Habari Wana JF na WATANZANIA kwa ujumla.

It has come to my ATTENTION kwa kauzoefu kadogo nilikonako hapa JF, Nime experience kwamba NYUZI zenye mielekeo ya Imani Fulani (Islam or Christianity) ndio NYUZI zinazochangiwa kwa hisia KALI na CHUKI dhidi ya imani nyingine waziwazi , thanks to JF management anonymity policy, kwa hiyo watu wanaweka hisia zao hadharani, AND you can predict the future.

NIOMBE:

Uvumilivu wa ki Imani za KIDINI utawale, TUEPUKE kudhihaki imani zingine, ati wao hawako SAWA, Sisi NDIO sisi NA kuitana MAJINA mabaya.

Tuheshimiane BILA Kukashifiana kwa sababu imani hizi ni jinsi tulivyozaliwa, Kulelewa bna KUAMINISHWA. TUSIKUBALI kuchonganishwa WALA Kugombanishwa kwa maslahi ya watu wachache ambao hata hatujui MALENGO yao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA (NA DINI ZAKE ZOTE)
 
Huo ugonjwa umeshafika hata kwenye baadhi ya Mods wa JF kuna upendeleo wa dini fulani na udhalilishaji dini filuni, utakuta nyuzi zinazo gusa dini fulani zinafutwa haraka iwezekanavyo au kupotezwa kusiko julikana ila za kudhalilisha dini nyingine zina achwa kwanza, zifanye impact zinafutwa badaye au kuachwa moja kwa moja
 
Kuna id hapa sitaki kuzitaja, zinajulikana ni za dini fulani, wana kashfu dini zingine kana kwamba dini yao ni safi. Huwa nawaona ni wehu/wendawazimu fulani hivi wenye akili ndogo
 
Mnaobishana mambo ya DINI akili zenu hazina akilii ndio maana kutwa kubishana kitu hata nyie wenyewe hamkijui mmeletewaa tu🤪🤪🤪

Polenii
 
Kuna id hapa sitaki kuzitaja, zinajulikana ni za dini fulani, wana kashfu dini zingine kana kwamba dini yao ni safi. Huwa nawaona ni wehu/wendawazimu fulani hivi wenye akili ndogo
Kuna baadhi ya Watanzania hutukana kukejeli kudhihaki watanzania wenzao kwa kuwaota majina ya kejeli kama eti wavaa kobazi, mama ushungi ila Mods wa jf wamekata kukemea tabia hiyo kwanini, wskati inaleta chuki na ubaguzi miogoni ya watanzania.
 
Hakuna kama hicho Tanzania hakuna udini upo jf. Watanzania wana abudu mizimu. Dini ya ukweli ya watanzania ni Simba na Yanga.
 
Habari Wana JF na WATANZANIA kwa ujumla.
It has come to my ATTENTION kwa kauzoefu kadogo nilikonako hapa JF, Nime experience kwamba NYUZI zenye mielekeo ya Imani Fulani (Islam or Christianity) ndio NYUZI zinazochangiwa kwa hisia KALI na CHUKI dhidi ya imani nyingine waziwazi , thanks to JF management anonymity policy, kwa hiyo watu wanaweka hisia zao hadharani, AND you can predict the future,.......


NIOMBE:
Uvumilivu wa ki Imani za KIDINI utawale, TUEPUKE kudhihaki imani zingine, ati wao hawako SAWA, Sisi NDIO sisi NA kuitana MAJINA mabaya.
Tuheshimiane BILA Kukashifiana kwa sababu imani hizi ni jinsi tulivyozaliwa, Kulelewa bna KUAMINISHWA. TUSIKUBALI kuchonganishwa WALA Kugombanishwa kwa maslahi ya watu wachache ambao hata hatujui MALENGO yao.
MUNGU IBARIKI TANZANIA (NA DINI ZAKE ZOTE)
Mkuu bomu la nyukilia AMBALO linaweza kubatuka ni kati ya WALIO NACHO NA WALALA HOI!
Sababu Wanao TESA NA WANAO TESEKA NI WAISLAMU, WAKRISTO, NA WAPAGANI!
Deen imekuwa kama Yanga na Simba...
 
Hakuna kama hicho Tanzania hakuna udini upo jf. Watanzania wana abudu mizimu. Dini ya ukweli ya watanzania ni Simba na Yanga.
Watanzania walisha pumbazwa na ushabiki wa simba na yanga, kuna ukatili wanao fanywa katika uchanguzi wa setikale za mitaa ila hamna mtanzania wakuja kuliongelea au kulikemea kabisa, ila kuchambua matokeo ya mpira media zote ziko buzy
 
Huu ubishi upo miaka na miaka ila nnachojua kibongo bongo Kobaz na Wagalatia ni marafiki.

Utamchukia muislamu wakati mjomba wako naye muislamu? Utamchukia mkristo wakati mama yako naye mkristo?
 
Tunagombania dini tulizoletewa na muarabu na mzungu na hakuna mwenye uhakika kama ni za kweli😆😆😆 waafrica sisi wa ajabu sana
 
Back
Top Bottom