SoC03 Uwajibikaji kwa vijana na kutambua nafasi yao katika jamii

SoC03 Uwajibikaji kwa vijana na kutambua nafasi yao katika jamii

Stories of Change - 2023 Competition

Eng CA Christopher

New Member
Joined
May 8, 2023
Posts
4
Reaction score
2
Kwa kuanza, moja kati ya nchi zenye idadi kubwa kabisa ya vijana barani Africa ni Tanzania. Ila chakusikitisha ni kwamba idadi ya vijana wengi wakitanzania hawazitambui nafasi zao katika jamii, ilihali wengi wao wakiwa ni wasomi wa elimu ya juu
Mfano wa nafasi hizo ni
Siasa
Utunzaji wa mazingira n. k

Kifanyike nini?
Kuwakumbusha vijana wanapo kuwa vyuoni juu ya umuhimu wao katika jamii.

Serikali kuwasaidia vijana katika malengo yao ili kuwa na uthubutu wakujaribu kuingia katika majukwaa mbali mbali katika jamii.

Hitimisho
Kwakutambua haya, jamii yetu itakuwa na viongozi wa mfano
 
Upvote 2
kwamba vijana walioko vyuoni tu ndo wanatakiwa kukumbushwa, vipi kuhusu vijana ambao wapo tu mtaani hawana umuhimu katika jamii?
 
Walioko mtaani nao wana umuhimu pia wakuelimishwa,, ila nimesema wa vyuoni maana hao ndio watakao tumika kwenda kuw
aelimisha wenzao wa mtaani,, na kama wa vyuoni hawatapata hio elimu basi wataenda kuwapotosha wenzao wa mtaani
 
Back
Top Bottom