johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani Chadema ipo ?Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hua unayasema haya toka moyoni au toka mdomoni tu basi. Maana sijajua unasahau na wasukuma walipiga kura wa wingi 2015 kwa sababu ya magu. Bila ya kusahau harakati sza bao la mkono.Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna tahadhari umeitoa hapo juu ya kujiandaa kisaikolojia kwani mmeishajiridhisha pasi na shaka kuwa cdm Ina makosa na mnakwenda kuifuta! Fine. Hapa unadai ccm itashinda mapema asubuhi ikiwa inashindana na Nani ilihali cdm itakuwa imeshafutwa?Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
October ni kipimo cha uwezo wa kufikiri wa watz
Jo unalipwa shilingi ngapi mtani? Hivi unajua kumpika chura teke ni kumuongezea hatua?Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
Ilikuwepo... Ipo na itakuwepoKwani Chadema ipo ?
Usiseme uwanja ukiwa sawa, kwa kuwa tayari hivi sasa chama chako cha CCM kinabebwa na vyombo vyote vya dola.............Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
Nimekusoma mkuu kweli chadema wakiacha figisu ccm itashinda saa mbili asubuhi🤣🤣USHINDI LAZIMA
1. Mwenyekiti, mkurugenzi na wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM (Rais)
2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani
3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM (Wakuu wa mikoa na wilaya)
HahahahahahahaUSHINDI LAZIMA
1. Mwenyekiti, mkurugenzi na wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM (Rais)
2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani
3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM (Wakuu wa mikoa na wilaya)
Hahahaaaa....... Ukiwa CCM lazima uiwaze Ufipa na kinyume chake ni sawa!Unaiwaza Chadema 24/7
Hahahaaaa...... Raha ya Simba ni Yanga!Addicted...
Jr[emoji769]