Uchaguzi 2020 Uwanja ukiwa sawa Oktoba 2020 CCM inashinda saa 4 asubuhi mafiga yote matatu

Uchaguzi 2020 Uwanja ukiwa sawa Oktoba 2020 CCM inashinda saa 4 asubuhi mafiga yote matatu

Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.

Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.

Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.

Niiombe NEC iwe makini October.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi unaamini kuwa katika chaguzi huwaga hakuna uwanja ulio sawa?
 
Bwashee naamini haujaandika haya kutoka moyoni.

Jimbo la Kinondoni mlichakachua makusudi ushindi wa Salum Mwalimu, hilo hata wewe unajua, labda umejisahaulisha makusudi, uwepo wa RC.DC. RCO kwenye chumba cha kuhesabia kura, na kukimbia na mabox ya kura ndiko kuliwaokoa.

Haijalishi Lowassa wala nani, Chadema inauwezo wakuwachapa saa kumi na mbili asubuhi.
 
Hata hao wote washaichoka ccm
USHINDI LAZIMA

1. Mwenyekiti, mkurugenzi na wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM (Rais)

2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani

3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM (Wakuu wa mikoa na wilaya)
 
Mwambie huyo Ngosha
Mkuu hua unayasema haya toka moyoni au toka mdomoni tu basi. Maana sijajua unasahau na wasukuma walipiga kura wa wingi 2015 kwa sababu ya magu. Bila ya kusahau harakati sza bao la mkono.
 
Bwashee naamini haujaandika haya kutoka moyoni.

Jimbo la Kinondoni mlichakachua makusudi ushindi wa Salum Mwalimu, hilo hata wewe unajua, labda umejisahaulisha makusudi, uwepo wa RC.DC. RCO kwenye chumba cha kuhesabia kura, na kukimbia na mabox ya kura ndiko kuliwaokoa.

Haijalishi Lowassa wala nani, Chadema inauwezo wakuwachapa saa kumi na mbili asubuhi.
Bwashee nimezungumzia uchaguzi mkuu wa 2015 Idd Azzan vs Mtolea wa Ukawa
 
USHINDI LAZIMA

1. Mwenyekiti, mkurugenzi na wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM (Rais)

2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani

3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM (Wakuu wa mikoa na wilaya)
Polepole aliwahi kusema "nyie hamtoshi"


Tuseme mmeshinda kwa mfano, mkaweka watu wizara ya afya..kule makao makuu ufipa anabaki nani??

Alafu mna wivu sana na human resources ya Serikali...mnaanza kusema inafanya kazi ya CCM , wakati inafanya kazi yake ya kikatiba.
 
Chama la wana , chama kikongwe...baba lao.!

Jembe na nyundo.

Ngoja tuwafundishe siasa nyie watoto wadogo.


Wenye akili wote washahama cdm.

Wapi slaa.? Na zile operesheni sangara, list of shames.


Angalau hao ndo wenye akili

Mliobaki cdm ni wachangiaji wa.saccos ya jamaa wa Hai.
Ikitokea uwanja ukawa 'fair' sisiemu itaingia rasmi kule inakostahili kuwa - jumba la makumbusho
 
Nafikiri umezungumza kinyume chake! Tume ikiwa Huru,Vyombo vya ulinzi na usalama vikisimamia Uchaguzi kwa haki,CCM inaaga saa 3:00 asubuhi.
Huo ukweli mnaujua lakini mnajifanya hamuujui!!
 
Nafikiri umezungumza kinyume chake! Tume ikiwa Huru,Vyombo vya ulinzi na usalama vikisimamia Uchaguzi kwa haki,CCM inaaga saa 3:00 asubuhi.
Huo ukweli mnaujua lakini mnajifanya hamuujui!!
CCM itaaga kwa upinzani upi?!
 
Back
Top Bottom