johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Huu wa akina Sungura na Lijualikali!Huo mnao uogopa hasa baada ya yule mbaya wenu mlio mkosa kosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wa akina Sungura na Lijualikali!Huo mnao uogopa hasa baada ya yule mbaya wenu mlio mkosa kosa
Basi wewe anza mazoezi ya kujiondoa huo moyo
Lowassa aliondoka na kura zake usisahau hilo bwashee!
Yule yule aliyetukanwa na Tundu Lisu!Lowasa yupi yule uliyekuwa unamtukana matusi ya ajabu ajabu?
Prof kapuya aliwahi sema "acheni wivu wa kike"
Inang'aaaaara CCM"
Yule yule aliyetukanwa na Tundu Lisu!
Huu wa akina Sungura na Lijualikali!
Tundu Lisu alipigwa risasi na Chadema by Dr Mollel!Nasema yule mliye mkosa kosa kwa malisasi
Watahatarisha uhai wao na vizazi piaUSHINDI LAZIMA
1. Mwenyekiti, mkurugenzi na wajumbe wa Tume ya uchaguzi - Wanateuliwa na mwenyekiti wa CCM (Rais)
2. Matokeo ya Urais hayapingwi mahakamani
3. Vyombo vya usalama (Mkoa/Wilaya) - Wenyeviti wao ni makada wa CCM (Wakuu wa mikoa na wilaya)
Tundu Lisu alipigwa risasi na Chadema by Dr Mollel!
Yeeesiii. Mikutano ianze waone tunavyoipenda
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!Kwahiyo kwa kuongea pumba hizo ndiyo mmemlipa fadhila?
Sio kesi ila mapendo yako yasiwe kwa wengineHahahaaaa....... Bwashee CCM nimeipenda mwenyewe!
Tatizo ni kuwa ruzuku ya Nccr mageuzi, ACT wazalendo, Chadema na hata CCM ni kodi yangu so nina uhuru wa kuvinjari nipendavyo bwashee, Sipangiwi!Sio kesi ila mapendo yako yasiwe kwa wengine
Jr[emoji769]
Chaguo la shetani anabadili katiba kujilinda[emoji16][emoji16],kushtakiwa kuko palepale hata afanyaje,utawala wake umejaa magumashi kuliko awamu zote.Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini mizani yako inaegemea upande mmoja zaidiTatizo ni kuwa ruzuku ya Nccr mageuzi, ACT wazalendo, Chadema na hata CCM ni kodi yangu so nina uhuru wa kuvinjari nipendavyo bwashee, Sipangiwi!
Badala wajibu hii hoja yako watasema unaklipwa buku 7. Kawe Ccm imesharudisha jimbo. Maana mbunge yupo taabani.Kama uwanja utakuwa fair na wapinzani hasa Chadema hawatatumia ujanja ujanja wakati wa kupiga kura basi CCM itashinda viti vyote vitatu yaani Rais, mbunge na diwani saa 4 asubuhi.
Ikumbukwe 2015 wale Friends of Lowassa walifanya ujanja ujanja mwingi mfano mzuri ni jimbo la Kawe, Kinondoni, Ubungo na Ukonga ambako kama siyo figisu wabunge wa CCM wangeshinda.
Mfano mwingine ni jimbo la Kilombero ambako wamasai kutoka kaskazini walienda kupiga kura kwa mujibu wa mbunge Lijualikali wa Chadema.
Niiombe NEC iwe makini October.
Maendeleo hayana vyama!