fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Karandinga zipo njiani na ng'ombeNaona hali sio hali leo huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Fiesta imedodaView attachment 1594873
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karandinga zipo njiani na ng'ombeNaona hali sio hali leo huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Fiesta imedodaView attachment 1594873
Aiseee namchukia magu kinoum mie nipo kitaa 2 sijakatiw milija wala nn ila inshu kujenga uchumi imara imemshinda
Sasa unakaaje nyumbani tu, unashindwa hata kuuza karanga ambapo mtaji wake hata 50,000 haizidi. Halafu unakuja kutuvimbia hapa eti unamchukia Magu, jichukie mwenyewe kwa kukaa kiboya kitaaAiseee namchukia magu kinoum mie nipo kitaa 2 sijakatiw milija wala nn ila inshu kujenga uchumi imara imemshinda
Hupendi chai? Chain ni nzuri huchangamsha mwili na kujisikia barabaraa hata kama una matatizoMAbiashara yalivyofungwa hizo 16tri kazitoa wapi? Au tunauziana chai
Kabla ya kukoment uwe muelewa naendelea na harakat zangu kitaa ila circulation ya hela ni hovyo kabisa afu muache kujifanya mnajua kufundisha watu kazi kama vp kalanga uza mwenyewSasa unakaaje nyumbani tu, unashindwa hata kuuza karanga ambapo mtaji wake hata 50,000 haizidi. Halafu unakuja kutuvimbia hapa eti unamchukia Magu, jichukie mwenyewe kwa kukaa kiboya kitaa
Kwa comment hii mleta kama Muungwa angeushusha fastaMkuu kwa Mguu au wanakwenda kwa mabasi? Wanakofia na t-shirt au wamevaa kama kawaida?
Sio wote but most of we are darasa la sabaKwa hivyo Waislamu ni wajinga? Haya Wewe amini hivyo. Mimi siamini.
Wacha kufananisha Simba Day na vitu vya ajabu ajabu wewe. Simba Day hakuna wanaobebwa kwa malori.Picha zinakuja bwashee.
Ni zaidi ya Simba day na Siku ya wananchi ukizichanganya pamoja!
Yaani unajifanya una akili wakati ni kula kulala!Mtu mwenye akili za kiwango hicho ulichokitaja, hawezi kushawishika kuhudhuria na pia kumchagua mgombea kwa sababu tu alimburudisha au kumpa chakula.
Wahudhuriaji wengi wa hilo tamasha watakua ni wale Watanzania wajinga tu mlio watengeneza wenyewe kwa miaka yote hii kupitia elimu duni, sera duni za kiuchumi, kisiasa na kijamii, nk.
Nilikua taifa kwa ofisi ya DMO,ajabu eti huduma zote hakuna staff wameenda kwenye kampeni.
Magari ya TRH yamebeba hadi vitoto aibu sana
Natafuta mtu wa kujifunzia kufanya mapenzi vip utaweza nafasi ipo wazi maana huna hakiliiHapo watu wameenda kusikiliza sera siyo nyie mnaamua kumsindikiza huyo kibaraka wenu anaeamua kuwa house girl na kwenda kununua nyanya kariakoo!
Badshi8 na polepole wana akili gani sasa hata cccm awajui zaidi ya kuchumia tumbo..
Ndio wanafuata burudani Ila kumbuka CCM Wana akili Mara1000 ya vyama vilivyobaki, wanawajua Watanzania zaidi ya mnavyofikiria nyie,, ili Mtanzania akusikie na kukuelewa kwa makini lazima awe na moroli kwanza na ndo Maana CCM inaanza na burudani kwanza ili kuwandaa raia kwa ajili ya kusikiliza Sera zao.
This bongo joh!
Hayo yote ni majukumu ya serikali. Ni kama baba mwenye nyumba kutamba kwamba ameleta chakula nyumbaniwatoto wale! Lumumba bwana!Mkuu kwa Mguu au wanakwenda kwa mabasi? Wanakofia na t-shirt au wamevaa kama kawaida?
Ha ha ha ha! Dah! Umenifurahisha sana. Kula kulala kwa wazazi au shemeji? Vipi mkuu tamasha liliendaje? Niliwaangalia kwa muda tu baadae nikaenda kwenye mishe zangu.Yaani unajifanya una akili wakati ni kula kulala!
Hata MAKABURU na Madikteta wengi walitumia mbinu hizo za LUMUMBAHayo yote ni majukumu ya serikali. Ni kama baba mwenye nyumba kutamba kwamba ameleta chakula nyumbaniwatoto wale! Lumumba bwana!
Yaani wewe....vyuma alizaliwa navyo? Ukiitwa zezeta itakuwa sio sahihi? Mtu kapigwa risasi nyingi mchana kweupe kama jambazi wamkebehi?Vipi lile lenye vyuma mpaka kero?
Sasa huyo mnaemwita gari bovu,kwamba trip moja shamba trip moja gereji sio mtu? Au umeniquote tu bila kuelewa maada imeanzia wapi?Yaani wewe....vyuma alizaliwa navyo? Ukiitwa zezeta itakuwa sio sahihi? Mtu kapigwa risasi nyingi mchana kweupe kama jambazi wamkebehi?
Wewe Simba zee unaonekana ni mdini sana. Kila ukichangia unaleta mambo ya udini. Kule mahali watanzania wamekudharau kwa hoja yako ya udini , sasa umekimbilia hapa. Hivi huwezi kujenga hoja zako bila kutaja dini za watu, tena kwenye hisia zisizo fanyiwa utafiti wa kisayansi. Acha mara moja udini wako. Wewe ni simba zee, acha kutaka watu wajadili fikri zako za kizee za udini. Hacha mara moja.It is a reality
Let us wait and see
Regions with Muslims majority like Tanga and other coast regions CCM will win by far.
And Christian majority lands like Kilimanjaro. Mbeya. Mara. Kagera and other Christians majority lands CHADEMA will win
Muslims in Tanzania we are most ignorant and poor community that's why CCM will rule this country for long long time