Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Most of the people from mtwara ni waislamu wenzangu ambao wengi wetu ni darasa la saba na masikini sanaVipi lile lenye vyuma mpaka kero?
Wewe Simba zee unaonekana ni mdini sana. Kila ukichangia unaleta mambo ya udini. Kule mahali watanzania wamekudharau kwa hoja yako ya udini , sasa umekimbilia hapa. Hivi huwezi kujenga hoja zako bila kutaja dini za watu, tena kwenye hisia zisizo fanyiwa utafiti wa kisayansi. Acha mara moja udini wako. Wewe ni simba zee, acha kutaka watu wajadili fikri zako za kizee za udini. Hacha mara moja.
Kua mdini ni kitu kimoja na kuzungumzaia uelewa wa wenye dini ni kitu KingineWewe Simba zee unaonekana ni mdini sana. Kila ukichangia unaleta mambo ya udini. Kule mahali watanzania wamekudharau kwa hoja yako ya udini , sasa umekimbilia hapa. Hivi huwezi kujenga hoja zako bila kutaja dini za watu, tena kwenye hisia zisizo fanyiwa utafiti wa kisayansi. Acha mara moja udini wako. Wewe ni simba zee, acha kutaka watu wajadili fikri zako za kizee za udini. Hacha mara moja.
kamchinja na msumeno, jumapili kanisani mzee wa uno lazima ajibu mapigo, hawezagi kukaa na kitu moyoni.hahahaaa,,conde anaroho mbaya
Baseless arguments. No research, no right to provide data. Unayoyasema hayana hadhi ya kujadiliwa kwenye forum hii ya great thinkers. Nakushauri achana na hizi unfounded and unwarranted arguments. Labda kazijadili na watu wa facebook au badooKua mdini ni kitu kimoja na kuzungumzaia uelewa wa wenye dini ni kitu Kingine
Kukataa kwamba eti Tanzania hatuna dini ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba Muslims majority lands Ndio kuna umaskini wa kutisha mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti ni kujificha kwenye kimvuli chako
Na kupinga kwamba most of Muslims are STD 7 you try to hide from your own shadow
Kupinga kwaba zaidi ya waislamu kutokana na ujinga wetu na umaskini wetu zaidi ya 80% tutapigia kura CCM
Kilimanjaro. Mbeya. Kagera. Musoma. Manyara etc are most Christian lands
Most of them are well educated and wealthy community
So they will vote against CCM
Kama ungekuambunifu angalia hata wanaosapoti CCM katika mitandao ya kijamii wengi wao ni Akina
Ali
Abdala
Mustafa
Hasan
etc
Ni ukweli uliomgumu kuumeaseless. Haina hata hadhi ya kujadiliwa na great thinkers. Tafadhali yapeleke facebook au badoo
Kuna watu hapa wanakubaliana na mimi na baada ya uchaguzi utaonaBaseless arguments. No research, no right to provide data. Unayoyasema hayana hadhi ya kujadiliwa kwenye forum hii ya great thinkers. Nakushauri achana na hizi unfounded and unwarranted arguments. Labda kazijadili na watu wa facebook au badoo
Sasa unaposa upo kitaa tu maana yake nini? Sisi tutaelewa upo kama golikipa tu. Unaposema circulation ya hela hovyo unasikitisha, yani useme circulation iwe hovyo halafu uendelee ku survive kindezi tu. Chapa kazi, nasema tena Chapa kazi.Kabla ya kukoment uwe muelewa naendelea na harakat zangu kitaa ila circulation ya hela ni hovyo kabisa afu muache kujifanya mnajua kufundisha watu kazi kama vp kalanga uza mwenyew
Uelewa wako mdogo kama ni hvy,afu haya maneno mnayopandikizwa na magu wenu ipo ck mtachapwa viboko aiseeSasa unaposa upo kitaa tu maana yake nini? Sisi tutaelewa upo kama golikipa tu. Unaposema circulation ya hela hovyo unasikitisha, yani useme circulation iwe hovyo halafu uendelee ku survive kindezi tu. Chapa kazi, nasema tena Chapa kazi.
Duh Banyamulenge mrudi kwenu tu mlishazoea fujo kwahyo huoni kituWatu wanafuata burudani tu kutoka kwa akina Ali Kiba, Diamond, Harmonize, nk hakuna jipya.
Huyo mkwere katurudisha nyuma sana.Nchi ilikuwa inaibiwa na hajuiNaombeni picha ya Kikwete akiomba kura huku kapiga magoti kwa wananchi enzi za uongozi wake
Baba sisi wengine ni Wakullma tumekopwa korosho zetu mpaka Leo hatujalipwa tuchape Kazi gani?Sasa unaposa upo kitaa tu maana yake nini? Sisi tutaelewa upo kama golikipa tu. Unaposema circulation ya hela hovyo unasikitisha, yani useme circulation iwe hovyo halafu uendelee ku survive kindezi tu. Chapa kazi, nasema tena Chapa kazi.
Wakati wa mkwere kulikua hakuna mauaji yanayo fanywa na watu wasiojulijanaHuyo mkwere katurudisha nyuma sana.Nchi ilikuwa inaibiwa na hajui
asante Google1.SAU
2.Chaumma
3.NRA
4.TLP
5.ADC
6.ADA-TADEA
7.NCCR
8.UPDP
9.UMD
10.NLD
11.DP
12.UDP
vipi nikuongezee au inatosha
kaka umesahau kama kuna google.Wewe unaevitambua hebu taja vyama kumi sasaivi.
Mfano wa Ponda hauakisi tabia ya Waislamu na zaidi unaweza kuakisi undumila kuwili au tamaa. Au zaidi ile isemwayo funika kombe mwanaharamu apite. Ama suala la Waislamu kuwa maskini haihalalishi kuwaSio wote but most of we are darasa la saba
Pia most of us we come from poor communities
That's why mwana harakati mkubwa wa kiislamu sheik issa ponda Mara baada ya kutoa waraka wa waislamu na kubainisha dhulma ya serikali ya magufulu.
From no where Sasa anaendelea BMW mpya. Na kwa Sasa waliopo jela wametelekezwa hata michango kwa ajili ya kukimu nahitaji ya Familia imepigwa STOP 🛑 na kwa Sasa wanaharakati wamekua wanaharakati wa JPM. Hio Ndio tafsiri ya umaskini na ujinga
Katika dua kubwa moja wapo.
Rasulullah (SAW) ALIOTUFUNDISHA ni
Ya Allah nakuomba unikinge na ufakiri na ujinga
HADITHI ingine Ufakiri ni nusu ya ukafikiri
Utake usitake waislamu nchi hii Ndio masikini na Ndio wajinga darasa la sabaMfano wa Ponda hauakisi tabia ya Waislamu na zaidi unaweza kuakisi undumila kuwili au tamaa. Au zaidi ile isemwayo funika kombe mwanaharamu apite. Ama suala la Waislamu kuwa maskini haihalalishi kuwa
Wajinga. Nauangalia ujinga kwa maana mbili. Mosi ni kutojua Kuusoma na kuandika. Hii haiakisi umaskini. Ni hali inayojitokeza katika jamii ikikolezwa na mambo mengi. Pili ni kutokufahamu jambo au hali Fulani. Hii inaweza kutokea kwa kila mtu kulingana na mazingira husika bila kujali muhusika ni muumini wa dini au wa hali gani. Kwa ufupi yanayoendelea hayajengi hoja, kwa ajuaye, kwamba jamii Fulani ni maskini au wahusika wake ni wajinga.
Katumia udini. Hivi NEC imemuachaje mpaka sasa? Yaani anajisema yeye ni muislamu???? Huyu kijana kajiharibia sana, maana huwezi tumia dini kujinadi na ndiyo maana hiki kikundi ni cha magaidi na wauaji.Pombe must go.View attachment 1594598
Yaani ukiwa muislamu maana yake wewe ni gaidi na muuaji?Katumia udini. Hivi NEC imemuachaje mpaka sasa? Yaani anajisema yeye ni muislamu???? Huyu kijana kajiharibia sana, maana huwezi tumia dini kujinadi na ndiyo maana hiki kikundi ni cha magaidi na wauaji.
yan hata kama una ufipa au kupinga pinga.mim sina chama ila tuulizane tu ukwel kwa kweli.Anarudia takwimu zile zile kila siku zina chosha masikio.