Anatoa pesa ake au uwanja upo kwenye budget ya serikali? tuacheni ujingaNdio anaye toa pesa.. hujasikia haya mambo
Una point nzur kwa hiliKwanini uitwe na Dr Samia badala hata ya Ngorogoro?
Ungeitwa Masai ungependeza sanKwanini uitwe na Dr Samia badala hata ya Ngorogoro?
Hili nalo ni janga ,utasema mama kalima mazao kauza amekuja kutugawia pesaHuja msikia waziri kasema mama katoa fedha
Wew mwaka 80 ulinunua shati elfu kumi na tano au ulinunua shilingi tano ukijiuliz utakuqa umejijibu😂Mbona huu uwanja utajengwa Kwa gharama kubwa kuliko ule wa mkapa na huu ukubwa wake ni nusu tu
Hapo 50% costs za project 50% unknown.Mbona huu uwanja utajengwa Kwa gharama kubwa kuliko ule wa mkapa na huu ukubwa wake ni nusu tu
Labda atoe fedha zake binafsi, zisiwe za ya Serikali.Ndio anaye toa pesa.. hujasikia haya mambo
Kuna kitu kinaitwa inflation. Shamba la babu yako kijijini alilonunua mwaka 1960 kwa shilingi 2,000 utaliuza kwa shilingi elfu tano leo ili upate faida ya elfu tatu?Mbona huu uwanja utajengwa Kwa gharama kubwa kuliko ule wa mkapa na huu ukubwa wake ni nusu tu