Uwanja wa Dkt. Samia Arusha haukidhi viwango vya FIFA

Uwanja wa Dkt. Samia Arusha haukidhi viwango vya FIFA

Bei yake inadaiwa ni mara tano ya bei ya Mkapa inayokalisha watu 60,000. Sasa jiulize nipesa za mkopoa za kampeni ziko ndani ama?
Itabidi tuchunguze viwanja vya majirani vyao vinajengwa bei gani?? Hii bilioni mia mbili themanini nakitu naona ninyingi mmno!!
Kuitwa sa100 wakati kinajengwa kwapesa za kodizetu niuchawa mwingine! Labda kama ni juhudi zake binafsi
 
Bei yake inadaiwa ni mara tano ya bei ya Mkapa inayokalisha watu 60,000. Sasa jiulize nipesa za mkopoa za kampeni ziko ndani ama?
Itabidi tuchunguze viwanja vya majirani vyao vinajengwa bei gani?? Hii bilioni mia mbili themanini nakitu naona ninyingi mmno!!
Kuitwa sa100 wakati kinajengwa kwapesa za kodizetu niuchawa mwingine! Labda kama ni juhudi zake binafsi
Anko Magu hakuwa mpigaji kama huyu Mzenji, kuna harufu ya ufisadi ndani yake bila ya kupepesa macho.
 
Ili kukidhi viwango vya FIFA inabidi uwe na seat kuanzia 40,000.

Tanzania kwa sasa hatuna uwanja wa kuhost ufunguzi wa finally za kombe la Dunia. Walau mkapa unaweza host robo fainali.

Kwanini Serikali isiongeze just.10K walau kuwa na uwanja wa viqango vya FIFA?

Maoni yangu bado wanaweza fanya adjustment, wachina ni wazuri sana kwenye hili, na pesa Samia anazo za kutosha.

Naona wametoa picha ni nzuri lakini ukubwa wa uwanja utavutia matukio mengi ya kimichezo kufanyika Tanzania.

View attachment 2939166
busara inanielekeza kukaa kimya kwa utulivu..
 
Kwanini hizo pesa wasingezielekezea kurekebishia viwanja vilivyochoka! Mwanza, shinyanga, dar, mbeya n.k! Sasa Arusha na mpira wapi na wapi ndugu zangu! Mama akae na afikirie mara mbili mbili
 
Back
Top Bottom