kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Bei yake inadaiwa ni mara tano ya bei ya Mkapa inayokalisha watu 60,000. Sasa jiulize nipesa za mkopoa za kampeni ziko ndani ama?
Itabidi tuchunguze viwanja vya majirani vyao vinajengwa bei gani?? Hii bilioni mia mbili themanini nakitu naona ninyingi mmno!!
Kuitwa sa100 wakati kinajengwa kwapesa za kodizetu niuchawa mwingine! Labda kama ni juhudi zake binafsi
Itabidi tuchunguze viwanja vya majirani vyao vinajengwa bei gani?? Hii bilioni mia mbili themanini nakitu naona ninyingi mmno!!
Kuitwa sa100 wakati kinajengwa kwapesa za kodizetu niuchawa mwingine! Labda kama ni juhudi zake binafsi