Uwanja wa Karume | Vodacom Premier League VPL' Biashara Utd Vs Simba SC

Uwanja wa Karume | Vodacom Premier League VPL' Biashara Utd Vs Simba SC

tumecheza na sevilla afu we unasema muarabu?
kweli nyie ni mapaka fc hao sevilla uliwafunga? halafu ukijitapa nyau kucheza na sevilla na waarabu unataka wasemeje juzi tu wametoka kuchezana Buyern Munich mabingwa wa ulaya
 
kweli nyie ni mapaka fc hao sevilla uliwafunga? halafu ukijitapa nyau kucheza na sevilla na waarabu unataka wasemeje juzi tu wametoka kuchezana Buyern Munich mabingwa wa ulaya
Tuliza mshono shabiki lia lia,,,,wanafungwa akina buyern na timu ndogo sembuse Simba!!....safari hii tutafika mpaka nusu fainali,, champions league....anza kula ndimu kabisa
 
Acha mawazo ya kinyau nyau kwa mahana hiyo simba lazima hao wanganga wenu wacheze ndio ujue wamecheza simba
Kila timu ina engine za timu.....ukitaka ujue angalia Mukoko tonombe alivyobadili game jana.....bila yeye mlishaaibika
 
Tuliza mshono shabiki lia lia,,,,wanafungwa akina buyern na timu ndogo sembuse Simba!!....safari hii tutafika mpaka nusu fainali,, champions league....anza kula ndimu kabisa
Ukisikia ndoto za Abunuasi ndio ulizonazo hiyo nusufainali unadhani hilo kombe ni ndondokapu mlioindaa juzi kati, nyie jiandaeni kifikra kwani mwaarabu anakuja kuwaoa kwa mkapa hapo jumanne
 
Mnyama mkali kaingia mbugani ...

Nyani, chura, nyumbu wote wamejificha...

Leo kaenda kufanya biashara ya Jumla...

Rejareja kamwachia Utopolo na wifi zake
Mkuu sio vizuri kutumia neno nyumbu kwa binadamu mwenzako ungetumia 'utopolo' tu ili kupunguza makali
 
Acha mawazo ya kinyau nyau kwa mahana hiyo simba lazima hao wanganga wenu wacheze ndio ujue wamecheza simba
Mtani mechi inayofata mnacheza na nani?
Nijuze ili kamati za fitna,roho mbaya pamoja na kamati ya nuksi zianze kazi.
 
Back
Top Bottom