emanuel jacob
Senior Member
- Feb 14, 2017
- 110
- 135
Unaa jipyaa unaonekaa unaa arosto ya virobaaa kafiee mbaliii..kubwaa jingaa na inaelekeaa km una familiaa ina kazii ya ziadaa maana wa na mamaa jinga kbs..cjui ww km mama ndan ya Nyumba n mzigo pakaa kwa mumeo wa wakwe kama staili yk ndioo hyoHayo maswali ya watoto wadogo. Na watoto hawaruhusiwi kutumia mitandao. Kama wewe ni mtu mzima utakuwa na mtindio wa ubongo.
Huko kwenu kenya viwanja vya ndege ni viwanda? Au ndio wehu wa akili kuliwa na funza!?
Katiba inasemaje kwani kuhusu suala hilo? kama unajua eleza kwa faida ya wasiojua.Kwahiyo unataka ufanyeje? Kwani Kikatiba wajumbe wa baraza la mawaziri ni akina nani? Mbona unakuwa mwehu hivyo.
Halafu nikuulize kikatiba je, katiba imesema rais aambatane na nani kwenye ziara zake za kiserikali?
Mbona unakuwa mpumbavu kiasi hicho. Acha utoto mwehu wewe.
Ukosefu wako wa adabu usiuoneshe wazi wazi. Uwe na adabu kwa viongozi wa nchi.
Lakini Pia Huwa Inasaidiwa Na Technolojia Ya Kuwezesha Hivyo Kama Ile Ya Kutumia Hydrollic Pumps Kuwezesha Ndege Kufikia TakeoFf Speed...Uko sahihi Mjomba..
Hakuna Ndege wala meli yenye urefu huo dunia..
huo utakuwa ni urefu wa njia ya kuruka na kutua ndege (Runaway)..
Na kwa ndege za kisasa...
wala huitaji uwanja mrefu kwa ajili kuruka na kutua..
Huko Dunia ya kwanza ndege zao za kivita zote zinateknolojia ya VToL
(Vertical Takeoff Landing)
ndani ya kiwanja cha 20x 20
chombo inaweza unaruka na kutua....
Huu urefu ni zaidi ya ule wa treni yenye behewa arobaini na tano!
Somebody keeps spewing uncalled for insults, calling others 'idiots', yet she couldnt even discern the simple error in the document she's presented, even when others pointed it out for her she still defended the mistake.
Ati 3000m long plane!
Andika kiswahili vizuri. La sivyo utaonekana punguwaniUnaa jipyaa unaonekaa unaa arosto ya virobaaa kafiee mbaliii..kubwaa jingaa na inaelekeaa km una familiaa ina kazii ya ziadaa maana wa na mamaa jinga kbs..cjui ww km mama ndan ya Nyumba n mzigo pakaa kwa mumeo wa wakwe kama staili yk ndioo hyo
Aliekwambia mi mkenya nan? We unafikiri mtasema ni kiwanja cha ndege? Mtatuambia kiwanda cha ndege za kijeshi morogoroHuko kwenu kenya viwanja vya ndege ni viwanda? Au ndio wehu wa akili kuliwa na funza!?
Niondolee nuksi mama wwAndika kiswahili vizuri. La sivyo utaonekana punguwani
Waache Mkuu wameng'ang'ania na tambo za SGR yao inayotumia makaa ya mawe na trump kawauzia ndege za kumwagia dawa kwenye mashamba ya kahawa wanajisifu nazo wanaenda kumaliza mizizi ya alshabab[emoji1] [emoji1] [emoji1]Uwanja ni wa kisasa na wa kipekee kusini mwa Jangwa la Sahara.
Viwanja vya namna hiyo ni viwili tu vimejengwa China na hiki kimoja hapa Tanzania.
"Kinaurefu wa mita 3,000, Upana mita 45 unene wa Sentimita 45"
MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO
RAIS MAGUFULI AZINDUA UWANJA WA NDEGEVITA WA KAMBI YA NGERENGERE, MOROGORO | KAMANDA WA MATUKIO
View attachment 477530 View attachment 477531 View attachment 477532
NB: Watani zetu wakenya naona wanaendelea kukenua kenua meno.
Sasa Uwanja huu ndege matata za kivita mtaziona sio muda mrefu.
Vifaa kama hivi hapa chini nadhani vitapatikana hapa bongo
View attachment 477536
View attachment 477537
Hapo ni kama unazungumzia upande wa fighter jets tu,kumbuka jeshi lina cargo airplanes zenye kuhitaji runway ya kutoshaUko sahihi Mjomba..
Hakuna Ndege wala meli yenye urefu huo dunia..
huo utakuwa ni urefu wa njia ya kuruka na kutua ndege (Runaway)..
Na kwa ndege za kisasa...
wala huitaji uwanja mrefu kwa ajili kuruka na kutua..
Huko Dunia ya kwanza ndege zao za kivita zote zinateknolojia ya VToL
(Vertical Takeoff Landing)
ndani ya kiwanja cha 20x 20
chombo inaweza unaruka na kutua....
Maths was clearly not her forté in school."When a foolish person keeps quiet (s) he is deemed intelligent "...... Ati ndege ya mita 3000????
Nakuhurumia sana kwa umbumbumbu wako. Hivi unadhani kwanini Uingereza ina vifaa vya hali ya juu vya kivita? Je, wapo na vita? Wewe unafikiri kwanini China au Russia wapo na vifaa vya kutisha je wanavita? Ukiwa mbumbumbu ni vyema ukaficha upumbavu.Wakenya wao wana alshabab na wana fanya maendeleo na wanajisifia sasa ww unajisifia kununua na kujenga viwanja vya ivo wkt mara yako ya mwsho kupigana vita idd amini alikua hai