Katiba ninayo sema ni ibara ya ngapi.Soma nime attach katiba ya Tanzania ya Kiswahili
Mita 3000 ni urefu wa barabara ya kurukia ndege (runway) ni sawa na km 3Ndege yenye urefu wa mita 3000?
We ndo haupo serious, 45cm ni unene mkubwa mno. Labda kama hujaelewa uliza.Unene wa centimeter?!... Afisa habari hayuko serious
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waache Mkuu wameng'ang'ania na tambo za SGR yao inayotumia makaa ya mawe na trump kawauzia ndege za kumwagia dawa kwenye mashamba ya kahawa wanajisifu nazo wanaenda kumaliza mizizi ya alshabab[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Uwanja mkuuNdege yenye urefu wa mita 3000?
Ndugu kama unasoma kitu halaf kinakupa uyungi yungi kukielewa ni vyema ukakirudia mara kadhaa kabla ya kukurupuka tu kukomenti ili nawe uonekane umechangiaNdege yenye urefu wa mita 3000?
Bashite upo hadi uku?First lady mbona haonekani kwenye baraza la mawaziri?
signature yako inajieleza..akili zako hazina akiliNani akuambie wewe? Prove kama wewe siyo mkenya. La sivyo wewe ni mamluki.
Umemuliza yeye mkuu?Hivi mke wa rais ana majukumu gani kwenye ziara ya kiserikali kama hiyo?
Msimtukane makonda ...ngano chakavu imeharibu kizazi cha kikwete mkuuKwahiyo unataka ufanyeje? Kwani Kikatiba wajumbe wa baraza la mawaziri ni akina nani? Mbona unakuwa mwehu hivyo.
Halafu nikuulize kikatiba je, katiba imesema rais aambatane na nani kwenye ziara zake za kiserikali?
Mbona unakuwa mpumbavu kiasi hicho. Acha utoto mwehu wewe.
Ukosefu wako wa adabu usiuoneshe wazi wazi. Uwe na adabu kwa viongozi wa nchi.
Kosa langu mimi ni lipi ? Mimi na wewe kakurupuka nani ? Nenda kasome mwanzo wa uzi huu comments za wadau wengine ,jibu ukipata kaa naloNdugu kama unasoma kitu halaf kinakupa uyungi yungi kukielewa ni vyema ukakirudia mara kadhaa kabla ya kukurupuka tu kukomenti ili nawe uonekane umechangia