Mambo..?Kama kuna member anakukwaza humu kuna option ya ignore,mapovu natoa kwa watu muhimu katika maisha yangu
Poa...Mambo..?
Yeah
[emoji106]Yeah
Humu hutakiwi kuumizwa kichwa na yoyote,ukiona mtu anakukera ignore her/him
We dada mi nakupenda mpk nahisi kuzimia!Poa...
Kulwa ni mwingi wa Rehema na fadhila.We dada mi nakupenda mpk nahisi kuzimia!
Moyo wangu umeudondokea sina hata presha na trending za dunia!
Naona kama siku zangu zinahesabika nikikukosa.. pendo nililonalo kwa nguvu yake inaweza beba hata sayari zote!.. natamani hata nikuchukue tukaishi hata kwenye mbalamwezi.. jina lako tamu na haliishi hamu lanimulika kama jua linavyotumulika kutupatia mwanga wake upendezao!
Najitahidi kuvumilia pendo nililonalo juu yako lakini halivumiliki kama anga lisivyoweza kuziziba nyota zisionekane usiku!..
Upendo wako nitaulinda kama dunia inavyotulinda na vimondo!
Nitaliangamiza jinamizi la giza kama jua linavyoangamiza giza pindi lichomozapo!..
Natamani nikuhonge hata sayari na nyota zote zilizopo ulimwenguni ziwe mali yako!,lkn ni vile tu si vyangu!!
Khaaa achana na mdogo wangu, tayari ameshawahiwaWe dada mi nakupenda mpk nahisi kuzimia!
Moyo wangu umeudondokea sina hata presha na trending za dunia!
Naona kama siku zangu zinahesabika nikikukosa.. pendo nililonalo kwa nguvu yake inaweza beba hata sayari zote!.. natamani hata nikuchukue tukaishi hata kwenye mbalamwezi.. jina lako tamu na haliishi hamu lanimulika kama jua linavyotumulika kutupatia mwanga wake upendezao!
Najitahidi kuvumilia pendo nililonalo juu yako lakini halivumiliki kama anga lisivyoweza kuziziba nyota zisionekane usiku!..
Upendo wako nitaulinda kama dunia inavyotulinda na vimondo!
Nitaliangamiza jinamizi la giza kama jua linavyoangamiza giza pindi lichomozapo!..
Natamani nikuhonge hata sayari na nyota zote zilizopo ulimwenguni ziwe mali yako!,lkn ni vile tu si vyangu!!
Dalili za korona hizo sio za upendo puluchuchu weweπππNaona kama siku zangu zinahesabika nikikukosa
Acha longo longo sema mfukoni una shilling ngapi umuhonge maneno mengi kama Manara.πNatamani nikuhonge hata sayari na nyota zote zilizopo ulimwenguni ziwe mali yako!,lkn ni vile tu si vyangu!
Kasemaje kwani?
Mie nimesoma hadi hapo alipoandika we dada
Ishi hapo.We dada mi nakupenda
Ishi hapo.
Si lazima awe anakukera..Naweza kusema dukuduku langu ni kwa wadada wanaofunga PM zao kama Joanah π
Watu wa blah blah hivi pesa hawanaga.Kumbe kasema hivyo
Basi mie nasubiri ruhusa yako nifanye kweli
Watu wa blah blah hivi pesa hawanaga.