Uwanja wa Manungu ulivyo kabla ya Mtibwa Sugar Vs Yanga

Uwanja wa Manungu ulivyo kabla ya Mtibwa Sugar Vs Yanga

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Picha inayoonyesha mazingira ya Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro ulivyo, uwanja huo utatumika kwa ajili ya mchezo wa Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, leo Jumatano Februari 23, 2022.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utaanza saa 10:00 Jioni, wenyeji Mtibwa Sugar wakiwa nafasi ya 15 kwa pointi 12 ambayo ni ya pili kutoka mkiani wakati Yanga wakiwa vinara wa ligi hiyo kwa pointi 36.

Kumekuwa na presha kubwa kwa kuwa Uwanja wa Manungu ukitajwa kuwa hauna ubora mzuri hasa sehemu ya pitch.

Unadhani nani anapigika leo?

Picha: Mtibwa Sugar

Manungu.jpg
 
Pitch nzuri hiyo unaweza ukajiburuza na magoti, ni tofauti sana na hali aliyoikuta simba kipindi kile
 
Pitch nzuri hiyo unaweza ukajiburuza na magoti, ni tofauti sana na hali aliyoikuta simba kipindi kile
Niliwahi kusema humu kuwa pitch ya Manungu ni mzuri kuliko wa jamuhuri Morogoro. Ila tatizo ni mvua tu ndio ulioharibu pitch
 
Mvua wiki hii ipo hata leo. Inanyesha mara mbilk kutwa. Kwa mwenendo huu wa wiki hii mvua kunyesha mara mbili matokeo yake ndio haya.20220223_112916.jpg
 
Picha inayoonyesha mazingira ya Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro ulivyo, uwanja huo utatumika kwa ajili ya mchezo wa Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, leo Jumatano Februari 23, 2022...
Wiki ni mwendo wa mwenyeji kushinda 2 bila majibu.20220223_112916.jpg
20220223_112916.jpg
 
Picha inayoonyesha mazingira ya Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro ulivyo, uwanja huo utatumika kwa ajili ya mchezo wa Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, leo Jumatano Februari 23, 2022.

Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utaanza saa 10:00 Jioni, wenyeji Mtibwa Sugar wakiwa nafasi ya 15 kwa pointi 12 ambayo ni ya pili kutoka mkiani wakati Yanga wakiwa vinara wa ligi hiyo kwa pointi 36.

Kumekuwa na presha kubwa kwa kuwa Uwanja wa Manungu ukitajwa kuwa hauna ubora mzuri hasa sehemu ya pitch.

Unadhani nani anapigika leo?

Picha: Mtibwa Sugar

View attachment 2128246
Wakati Simba inapasua anga kutoka Niamey kwenda Cassablanca kupitia Uturuki, Utopolo wako safarini kwenda Manungu kupitia Mikese Mdaula, Mvomero, Turiani
 
Inasikitisha. Uwanja hapa ........wanaochezea watoto under 14 ni mzuri kuliko huo.Kweli Tanzania ni third world country.
 
Wakati Simba inapasua anga kutoka Niamey kwenda Cassablanca kupitia Uturuki, Utopolo wako safarini kwenda Manungu kupitia Mikese Mdaula, Mvomero, Turiani
Kisha watapumzika pale Ferry Dumila njiapanda ya kuelekea Turiani. Watapata mahindi ya kuchoma kisha kuendelea na safari.
 
Back
Top Bottom