Uchaguzi 2020 Uwanja wa Mkapa umeharibika waandishi kimya

Uchaguzi 2020 Uwanja wa Mkapa umeharibika waandishi kimya

Jana kulikuwa na tukio kubwa sana la kampeni la Chama cha Mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.

Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.

Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikuwa nyingi ila kwa Jana kimya kila mtu anaogopa.

View attachment 1595489

Ni kazi ya meneja wa uwanja kuhakikisha atafuta kampuni za kufanya usafi baada ya shughuli.

Uwanja upo chini ya uangalizi wa meneja.

CCM wao na vyama vingine wanapaswa kulipia shughuli hizo ili hiyo fedha isaidie kufanya usafi na mambo mengine.

Sioni sababu ya kuwatupia lawama vyombo vya habari kwa masuala ambayo yapo chini ya majukumu ya meneja wa uwanja.

Kama meneja wa uwanja hawezi kazi basi anaachia ngazi.
 
ccm na serikali yake ni matapeli... Na wanawatapeli wadanganyika kwa mengi...
 

Attachments

  • IMG_20201011_174146.jpg
    IMG_20201011_174146.jpg
    140.1 KB · Views: 2
  • IMG_20201011_174151.jpg
    IMG_20201011_174151.jpg
    107.9 KB · Views: 3
Kwa picha iliyowekwa, ninachoona ni uchafu wa mabaki ya vitu vilivyotumika, bila shaka mamlaka ya uwanja itasafisha.
 
Wamenikera hao nauchwara yani ata match leo ya tz na warundi haijanoga uwanja mbayaaaa kwaajili yao
 
Jana kulikuwa na tukio kubwa sana la kampeni la Chama cha Mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.

Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.

Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikuwa nyingi ila kwa Jana kimya kila mtu anaogopa.

View attachment 1595489
Uwanja ni mali ya CCM na walioharibu ni wana CCM.Naamini litatolewa fungu la kurekebisha!!
 
Jana kulikuwa na tukio kubwa sana la kampeni la Chama cha Mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.

Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.

Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikuwa nyingi ila kwa Jana kimya kila mtu anaogopa.

View attachment 1595489
Haujawahi kutokea uwanja huo kutumika kwa shughuli Kama hizo. Siku si nyingi utafungwa kwa michezo halali. Ubabe at work. R. I. P Mzee Mkapa
 
Ni kazi ya meneja wa uwanja kuhakikisha atafuta kampuni za kufanya usafi baada ya shughuli.

Uwanja upo chini ya uangalizi wa meneja.

CCM wao na vyama vingine wanapaswa kulipia shughuli hizo ili hiyo fedha isaidie kufanya usafi na mambo mengine.

Sioni sababu ya kuwatupia lawama vyombo vya habari kwa masuala ambayo yapo chini ya majukumu ya meneja wa uwanja.

Kama meneja wa uwanja hawezi kazi basi anaachia ngazi.
We nawe sijui umetoka kupumuliwa huko.Hivi unaelewa unachokiongea?
 
Uwanja ni mali ya CCM na walioharibu ni wana CCM.Naamini litatolewa fungu la kurekebisha!!
Peleka upumbavu wako huko uwanja ni mali ya Taifa la Tanzania, maana yake uwanja ni wa watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama huwezi fanya uharibufu kama ule ni upuuzi mtupu.
 
We nawe sijui umetoka kupumuliwa huko.Hivi unaelewa unachokiongea?
Naona umepumuliwa mpaka umelewa wadhani kila mtu ni wa kupumuliwa.

Wacha kuwaza hayo mambo ya kupumuliwa, jadili issues.

Nna uelewa mara mbili yako ya nnachokiongea.
 
Umeharibika ! Nani kakudanganya ? Wewe ndio huwa unautunza ?
Jana kulikuwa na tukio kubwa sana la kampeni la Chama cha Mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.

Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.

Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikuwa nyingi ila kwa Jana kimya kila mtu anaogopa.

View attachment 1595489
 
CCM wanashindwa kutofautisha mali za umma na za chama, wanaona kila kitu ni chao

Hii ndio sababu nchi imebaki maskini mpaka sasa ,
kodi za wananchi wanatumia kumlipa Diomond na wenzake, wakati hospitalini, kupata paracetamol ni shida
CCM ndio chama tawala chenye serikali na serikali hiyo ndio ilijenga huo uwanja na ndio inayotunza huo uwanja, kwa hiyo unataka kutuambia nini hapa jukwaani ?
 
Wamlioe nani ?
Nilidhani ule uwanja wa zamani pembeni uliachwa ii uendelee kutumika kwa ajili ya maujinga kama haya.

Inasikitisha sana. Na sidhani hata CCM wamelipia kuutumia.
 
Back
Top Bottom