nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Usitufokee
Peleka upumbavu wako huko uwanja ni mali ya Taifa la Tanzania, maana yake uwanja ni wa watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama huwezi fanya uharibufu kama ule ni upuuzi mtupu.