Peleka upumbavu wako huko uwanja ni mali ya Taifa la Tanzania, maana yake uwanja ni wa watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama huwezi fanya uharibufu kama ule ni upuuzi mtupu.
Sasa utajilipisha faini kwenye mali yako.seikali imeharibu uwanja wake kwahyo itabidi wautengeneze wao wenyewe.mmiliki ndiye aliyeharibu sasa fine ni kwa nani ulitaka?