ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ukishatawaliwa na watu.............unategemea nini!?Kama hadi ile bustani pale Mwenge imetushinda mengine si ya kushangaza sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishatawaliwa na watu.............unategemea nini!?Kama hadi ile bustani pale Mwenge imetushinda mengine si ya kushangaza sana.
Wanajua kubunya tu hela. Hakuna kingine wanajuaWatu wanaosimamia michezo wana IQ ndogo
Ndio! Inawahusu hiyo. Kama wanachambua hadi academies za watoto,kwanini isiwe viwanja? Watoto hujifunzia wapi?Kwa hiyo mbwaduke achambue mpaka kiwanja?
Anyway lawama ni muhimu, pitch ina muonekano wa hovyo.
Kile kisa cha nabii aliyelewa na kukaa uchi akiwa na watoto wake watatu wazungu hukitumia kutaja asili ya rangi za binadamu kinanijiaga— kinauma lakini kama kweli vile?Wakuu,
Hivi kweli tumeshindwa kutunza huu uwanja? Usafi wa vyoo na maeneo mengine imekuwa tatizo sugu lakini aibu kubwa zaidi ni sasa hata pitch imetushinda.
Ni aibu National Stadium nyasi kuisha na kuwa na mapengo ya vumbi. Serikali kwenye hili mnastahili lawama zote kwa kushindwa kusimamia huu uwanja.
Hii nchi kwenye mpira tunachambua mambo mengi ya kijinga na wakati mwingine kuacha vitu fundamental.
Uwanja wa Taifa kuwa na pitch ya namna ile ni aibu ya Taifa. Watu wawajibike kwenye hili! Aibu! Aibu! Aibu!
Shame on us! [emoji35]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hoja sio kuchezewa mechi mbili kwa wiki mbona misimu ya nyuma zilikua zinachezwa na hatukuona haya yanayotokea leo??ishu ni utunzaji..pesa zinaenda wapi?Hizi timu kongwe zilitakiwe zipewe hata miaka 5, ziwe zimejenga viwanja vyao.
Wee uwanja kila wiki mechi mbili, unategmea nini hapo. Hata ukitunzaje lazima utazidiwa.
Sijui SGR itakuwaje? naona tumlipe CEO mzungu tuu mwenye uzoefu na mambo ya reli aje aiendeshe, sina imani kama kina Kadogosa wataweza kuisimamiaKama tunakosa akili ya ku manage uwanja tutaweza hayo mandoto tunayoota? Vitu vidogo sana tunafeli. Hivi tumeshindwa kutunza walau, walau, walau eneo la kuchezea?
Aliyeturoga kafa!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Matamasha hayana shida na wanalipa kutumia uwanja, focus na issue uwanja hautunzwi unavyotakiwa na wanakusanya mabilioni lakini hata taa au kusafisha vyoo hawawezi, mimi ningeanza na msimamzi mkuu wa uwanja then meneja wa usafi na mazingira ya uwanja, ningesafisha wote hao bila chengaNa yale matamasha yao ya Dini wanayapeleka pale, wanategemea nini kama siyo uharibifu wa uwanja.
Ustaarabu hakuna ukiingia kwenye vyoo ndiyo balaa.
AC Milan na Inter Milan ni kongwe kuliko Simba na Yanga lakini hazina uwanja zinatumia uwanja wa umma wa Sansiro au Guissepe MeazaBoss uwanja ni mmoja, kuna timu kongwe zina miaka zaidi ya 80 hazina viwanja, zote zinatumia uwanja huohuo kama uwanja wa nyumbani, (Overuse) ,
Kumbuka kuna timu ndogo tu zinaanzishwa na tayari zina viwanja vyao na kumbuka kuna ile takataka inaitwa tff huwa inavifungia viwanja vyao wakati wowote (hasa pale hizi timu ndogo mpya zinaposhindwa kujiongeza [emoji383])
Nchi nzima tuna kiwanja kimoja,
Serikali hii ya hovyo bado haijaona umuhimu wa kujenga viwanja vingine hata viwili vyenye capacity ya 20-30k dodoma au moro au Arusha na dsm licha ya kukopa mabilioni ya pesa ulaya.
Kazi walipata kwa connection kupitia vimemo.Kuna ile screen huwa iko off muda wote, halfu kuna mwamba (manager) wa ule uwanja yupo tu, anakula salary.
Sijui hizi kazi huwa wanapeana vipi, inafaa ifike wakati tuhoji,
Yaani tufahamu hii management ya huu uwanja, tuone elimu zao, kisha tuone walipataje hizi nafasi. Kuna haja.
Sisi au viongozi wetu?Uwanja unatia aibu sana sana! Hebu kumbuka siku tulipokabidhiwa tunapaita kwa mchina na leo? Sisi tuna matatizo mazito [emoji31]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app