Uwanja wa Mkapa: Yanga yashindwa kutamba uwanja wa nyumbani, yalazimishwa sare na Kagera Sugar

Uwanja wa Mkapa: Yanga yashindwa kutamba uwanja wa nyumbani, yalazimishwa sare na Kagera Sugar

Hivi awa waamuzi kutoziona izi penalty wanazo stahili kupata Yanga ni makosa ya kibinadamu au ndio rushwa michezoni. Maana linaonekana Kama Jambo linalo endelea na mbaka sasa halionyeshi mabadiliko. Awa wachezaji wa Yanga ni binadamu Kama wengine wanavyo porwa ushindi kwa njia Kama hizi kunasiku uvumilivu utawashinda watajichukulia hatua. Bodi ya Ligi iwe makini Kuna Jambo si la kawaida linafanyika kuvuruga mpira.
Droo na Simba, Penalty
Nusu fainali Mapinduzi, Penalty
Fainali Mapinduzi, Penalty
Goli la kwanza Vs Kagera Sugar, Penalty

Kwani mmekuwa Penalties Football Club?
Yani hamshindi mpaka kwa Penalties?
Kwani Utopolo siku hizi mmekuwaje?
 
FB_IMG_16136220414901169.jpg
 
11': Yanga 0-1 Kagera - Malyanzi

13': Yanga 1-1 Kagera Kisinda (p)

24':Yanga 1-2 Kagera - Mwaterema

30': Yanga 2-2 Kagera - Kaseke

45': Yanga 2-3 Kagera - Mhilu

61': Yanga 3-3 Kagera - Tonombe

Mpira umekamilika Uwanja wa Mkapa kwa sare ya kufungana mabao 3-3 na wamegawana pointi.

FT | YANGA 3 - 3 KAGERA







Makubaliano ni kuwa kwa kuwa Sarpong na Fiston wanasemwa sana leo wapate nafasi ya kufunga. Wote au mmoja wapo hatakosa kuondoka na Goal.

Ila kubwa na la msingi ni kuwa iwe mvua liwe jua leo lazima Yanga tushinde. Match iliisha jana. Meck Mexime au Wanakagera Sugar hawana ugomvi na Yanga. Hawana haja ya kucheza kwa kukamia. Mpira ni starehe wanapaswa wacheze kwa ku relax.

Wanayanga popote mlipo leo muwe na amani na furaha. Achaneni na match ya Mbeya wale wanyak wapuuzi walijifanya wanaume sana.

Leo tupo na Wahaya. Hawa hatuna shida nao tunawafahamu. Hawana moyo Mgumu. Points tatu muhimu. Kocha wa Kagera Sugar anafahamu umuhimu wa sisi kupata points 3.
Kileleni Joto Limepanda..... Sema acha watambe na Unbeaten yao bhana
 
Back
Top Bottom