JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
- Thread starter
- #41
Wakati wa JPM kuna jambo lilikuwa linasuasua hapo Dodoma?Uwanja wao wenyewe wa Mohammed V haufikii huo. Halafu uwanja wa mpira hakitakiwi kuwa kipaumbele huko Dodoma kwa sasa bali miundombinu ya kisasa kuwezesha serikali ifanye kazi kwa ufanisi.
Uwanja wa Mpira ni mhimu mno hasa kipindi hiki ambacho Yanga inachanaj mbuga.