ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Uharibifu wa pesa na kuharibu jina jema la Rais wetu, Aibu na ni wizi tu !My Take
Yaani Bilioni 310 ndio Watazamaji wa Kukaa 12,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0
Swali: Iweje Uwanja wa Arusha Ugharimu Bilioni 286 na uwe na Capacity kubwa (30,000 seaters) kushinda Dodoma ambayo inagharimu pesa nyingi? Wataalamu watupe ufafanuzi Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Hiyo hela ni ndogo Kwa uwanja ila concern yangu ni uwezo wa Watazamaji 32,000.bilioni 300! ni uwanja kama.wa mkapa! 60,000 watazamaji!
Hela ndefu sana halafu uwanja mdogo hivi yaan uwanja km KMC billion 310 huu si utani wa ngumiWangekua 45000 ingependeza, 12000 ni wachache sana
Fisi haoHela ndefu sana halafu uwanja mdogo hivi yaan uwanja km KMC billion 310 huu si utani wa ngumi
Hapo zitatumika bilioni mia moja na nusu. Hizo nyingine mbogamboga mtagawana
My Take
Yaani Bilioni 310 ndio Watazamaji wa Kukaa 12,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539
Swali: Iweje Uwanja wa Arusha Ugharimu Bilioni 286 na uwe na Capacity kubwa (30,000 seaters) kushinda Dodoma ambayo inagharimu pesa nyingi? Wataalamu watupe ufafanuzi Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Kipeperushi Cha tbc online kinasema watu elfu 32,mleta habari anasema elfu 12... Ipi taarifa sahihi?Hela ndefu sana halafu uwanja mdogo hivi yaan uwanja km KMC billion 310 huu si utani wa ngumi
2005 wa mkapa ilikua kwa billion 60. Anamaanisha kwa bil 300 tunaweza kupata wa watu 60000Hiyo hela ni ndogo Kwa uwanja ila concern yangu ni uwezo wa Watazamaji 12,000.
Chukua hiyo hela ya 2005 ilete Sasa harafu utaleta majibu.
Pengine wamekosea kuandika hizo gharamaHela ndefu sana halafu uwanja mdogo hivi yaan uwanja km KMC billion 310 huu si utani wa ngumi
Gharama ziko sahihi kabisaPengine wamekosea kuandika hizo gharama