Uwanja wa Mpira Dodoma Utagharimu Bilioni 310. Utabeba Watazamaji 32000

Uwanja wa Mpira Dodoma Utagharimu Bilioni 310. Utabeba Watazamaji 32000

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
My Take
Bilioni 352 ni gharama ndogo ,Watazamaji wa Kukaa 32,000 tuu?

Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000 Kwa about 450Bln👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0
gersonmsigwa_1739423375748.jpg
gersonmsigwa_1739423375183.jpg
gersonmsigwa_1739423375943.jpg
gersonmsigwa_1739423376443.jpg
gersonmsigwa_1739423376103.jpg
gersonmsigwa_1739423376777.jpg
gersonmsigwa_1739423376604.jpg
gersonmsigwa_1739423376282.jpg



Pia soma Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Ilani: Mods badilisheni heading isomeke ,Uwanja wa Dodoma kugharimu Bilioni 352 na utakuwa na uwezo wa kuchukua Watazamaji 32,000 na sio 12,000

View: https://www.instagram.com/p/DGBQT34IpgK/?igsh=NTYwOXFrMzZ3dnpv
 
My Take
Yaani Bilioni 310 ndio Watazamaji wa Kukaa 12,000 tuu?

Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0

Swali: Iweje Uwanja wa Arusha Ugharimu Bilioni 286 na uwe na Capacity kubwa (30,000 seaters) kushinda Dodoma ambayo inagharimu pesa nyingi? Wataalamu watupe ufafanuzi Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Uharibifu wa pesa na kuharibu jina jema la Rais wetu, Aibu na ni wizi tu !
 
My Take
Yaani Bilioni 310 ndio Watazamaji wa Kukaa 12,000 tuu?

Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0
View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539

Swali: Iweje Uwanja wa Arusha Ugharimu Bilioni 286 na uwe na Capacity kubwa (30,000 seaters) kushinda Dodoma ambayo inagharimu pesa nyingi? Wataalamu watupe ufafanuzi Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027


..tunatumia Trillions kujenga viwanja vya mpira?

..Ni zaidi ya daraja la Kigongo-Busisi!!

..vipaumbele vyetu viko sawasawa?
 
Hela ndefu sana halafu uwanja mdogo hivi yaan uwanja km KMC billion 310 huu si utani wa ngumi
Kipeperushi Cha tbc online kinasema watu elfu 32,mleta habari anasema elfu 12... Ipi taarifa sahihi?
 
Mtoa mada, mbona nimeisoma hiyo Taarifa Kwa kuirejea, nimekuta ni watazamaji Elfu 32 waliokaa

Wewe hao Elfu 12 umeitoa wapi??

Anyways, huu ni Mwaka wa Uchaguzi

Kwahiyo huenda wakubwa wanatafuta hela za kushinda Uchaguzi Kwa kuongeza gharama za Ujenzi 🙌

Tusisahau "Kila mtu kula Kwa urefu wa Kamba yake"
 
Back
Top Bottom