ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Typing errorMtoa mada, mbona nimeisoma hiyo Taarifa Kwa kuirejea, nimekuta ni watazamaji Elfu 32 waliokaa
Wewe hao Elfu 12 umeitoa wapi??
Anyways, huu ni Mwaka wa Uchaguzi
Kwahiyo huenda wakubwa wanatafuta hela za kushinda Uchaguzi Kwa kuongeza gharama za Ujenzi π
Tusisahau "Kila mtu kula Kwa urefu wa Kamba yake"
Fanya exchange rate Mzee na value of money Sasa hivi na kipindi hicho.2005 wa mkapa ilikua kwa billion 60. Anamaanisha kwa bil 300 tunaweza kupata wa watu 60000
Arusha wa watu 30000 unajengwa kwa bil 280
Taarifa yako ina 12,000 ila kipeperushi cha tbc online kinaonyesha 32,000.My Take
Yaani Bilioni 310 ndio Watazamaji wa Kukaa 32,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539
Swali: Iweje Uwanja wa Arusha Ugharimu Bilioni 286 na uwe na Capacity kubwa (30,000 seaters) kushinda Dodoma ambayo inagharimu pesa nyingi? Wataalamu watupe ufafanuzi Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Taarifa itakua zimekosewa, hao watu sio wajingaGharama ziko sahihi kabisa
Typing errorTaarifa yako ina 12,000 ila kipeperushi cha tbc online kinaonyesha 32,000.
Ipi taarifa sahihi?
Typing error,mods warekebisheMtoa mada, mbona nimeisoma hiyo Taarifa Kwa kuirejea, nimekuta ni watazamaji Elfu 32 waliokaa
Wewe hao Elfu 12 umeitoa wapi??
Anyways, huu ni Mwaka wa Uchaguzi
Kwahiyo huenda wakubwa wanatafuta hela za kushinda Uchaguzi Kwa kuongeza gharama za Ujenzi π
Tusisahau "Kila mtu kula Kwa urefu wa Kamba yake"
Shukrani kuliona hiloTyping error
Wewe unahisi kwa sasa uwanja wa watu 60000 unaweza kugharimu kiasi gani?Fanya exchange rate Mzee na value of money Sasa hivi na kipindi hicho.
Hebu soma hilo bandiko lako tena watu wangapi?My Take
Bilioni 310 ni gharama ndogo ,Watazamaji wa Kukaa 32,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539
Pia soma Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Duh! Hii nchi inahitaji maombi ya vishindo wakomaπ€£My Take
Bilioni 310 ni gharama ndogo ,Watazamaji wa Kukaa 32,000 tuu?
Bora tungejenga taratibu taratibu ila uwanja ambao walau utabeba Watazamaji 45,000.ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBA_VYO4-2/?igsh=cWhiZG1pMXZtZDE0View attachment 3235532View attachment 3235533View attachment 3235534View attachment 3235535View attachment 3235536View attachment 3235537View attachment 3235538View attachment 3235539
Pia soma Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027
Ujenzi wa viwanja una gharama kubwa ila kulikiwa hakuna sababu ya ku rash na uwanja wa Bilioni 352 ,tungejenga uwanja mkubwa wa angalau mashabiki 50,000 hata kama ungegharimu Bilioni 400 plusPana wizi mkubwa sana watu wapo kwenye kujenga viwanja vikubwa vya kuingiza watu laki bado tunajengewa tandika mabatini dodoma ni jiji bunge wapo wanakenua tu!
Kila media na bei yake.Bongo michisho sana ππShukrani kuliona hilo
Elfu 32 au elfu 12?Gharama ziko sahihi kabisa
32,000Elfu 32 au elfu 12?
Inaonekana mtoa taarifa hakutoa taarifa yake vizuri, hivyo Kila mmoja kuja na gharama zake.Kila media na bei yake.Bongo michisho sana ππ
View: https://www.instagram.com/p/DGBEhZlqbqt/?igsh=MXF5ZTA3NDF1eXJhMQ==
Nadhani watakuwa wame koti bei Kwa Dola ,haya ndio madhara yake Kila mtu na ukokotozi wakeInaonekana mtoa taarifa hakutoa taarifa yake vizuri, hivyo Kila mmoja kuja na gharama zake.
Ndiyo maana inashauriwa baada ya uwasilishaji wa taarifa hasa za Serikali, mwisho wa taarifa uwape kopi ya hiyo taarifa Waandishi wa habari ili kuondoa aina hiyo ya sintofahamu
Huenda, ndiyo maana nimesema Kuna haja Waandishi wa habari wawe wanapewa taarifa kamili ili kuwasaidia kuondoa hizo sintofahamu.Nadhani watakuwa wame koti bei Kwa Dola ,haya ndio madhara yake Kila mtu na ukokotozi wake