Anaunda serikali lakini ujue hiloUnadhani Israel ataliacha hilo litokee? Sidhani.
Kinacho endelea Ukraine na Russia ndio hiki unacho pendekeza hapa, unajua pia why Cuba na USA wamekua na ugomvi wa zaidi ya miaka 70? Sababu ni kama hiyo unacho kifikiria. For security reason, Israel hawezi kukubali Hezbollah atawale Lebanon