Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

😂😂😂😂😂
 
90+11'

Naaaaaaaam mpira umekwishaaaa uwanja wa New Jos Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wanaibuka kwa ushindi wa bao moja bila likifungwa na Claotus Chota Chama dakika ya 53'

FT; Plateau United 0-1 Simba SC
Haaaa, usilete utani mkuu, ni lini Simba a.k.a Mnyero fc alikuwa bingwa wa Afrika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…