Uwanja wa New Jos | Ligi ya Mabingwa Afrika' Plateau United Vs Simba SC

Mkuu naona unawapa moyo eeh
Siwapi moyo huo ndio ukweli. Hawa jamaa kwanzia itokee janga la corona ligi yao ikasimamishwa. Na hawakucheza mchezo wowote ule na ligi ya Nigeria hadi sasa bado haijaanza tena. Sasa wachezaji wanapataje fitness? Je kikosi kinatengenezwaje kwa kutocheza mechi ili kujipima? Sima wana advantage sana ya kufuzu hatua inayofuata
 
Leo tunataka sare au ushindi ila kocha tukipigwa hamsa ni bora ubakie huko huko na upitilize kwenda kwenu
Kocha uchebe ndo mpuuzi kutuharibia CV ugenini tafuta sare ukija ushindi ni bora zaidi yeye alikuwa akifunguka ile mbaya bila kuwa na tahadhari, sasa rekodi ile hakuna tena kwa sasa kwa Kocha huyu Vanderbroeck

Angalia alivyosema kwenye uzi hapo
 
Mwaka jana tuliishia Hamsa, mwaka huu tunaanzia hapo kwenda juu! Lazima tujue namba za kiarabu
 
Mwaka jana tuliishia Hamsa, mwaka huu tunaanzia hapo kwenda juu! Lazima tujue namba za kiarabu
Hivi kutolewa na UD Songo wa kanuni baada ya sare ya 1-1 ndo mwaka Jana ilikuwa hivyo? Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
 
Nguvu ya Mamba Kumayi..Mk 14 yupo tayari kuwashangaza Plateau United
 
Hapa nasali Simba wapigwe kipigo cha mbwa koko.
 
Simba ndiyo waliokataa huo mtanange usioneshwe na TV za hapa nyumbani lakini huko nigeria watu wanaangalia live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…