Uwanja wa Sokoine Mbeya: Prison Tanzania 1 - 3 Yanga Afrika

Endeleeni kubahatisha hayo ndiyo maisha yenu vyura ila muda mfupi ujao mtarudi kwenye nafasi yenu
Kabisa mkuu, hawa wametangulia na baiskeli ya barafu, jua la February na March halitawaacha salama, kila mmoja atakuwa kwenye nafasi yake kipindi hicho.
 
Yanga ndio timu iliyochukua ubingwa wa Tanzania mara nyingi
Yanga ndio timu iliyomfunga Simba mechi Yanga
Yanga ndio ya kwanza kuanzishwa kabla ya Simba
Kikosi hiki Cha Sasa hakina ubora was kuchukua ubingwa ukilinganisha na Azam na Simba kwa Sasa ni upepo mzuri unapepea jangwani ukiambatana na bahati
 
Yanga wana uwezo mkubwa wa kutumia chances wanazopata unlike Simba ambao hawatumii chances. Simba na Azam wasipoifunga Yanga, wasahau ubingwa kwasababu timu ndogo haziwezi kuifunga Yanga...ila mpira wa Yanga mbovu sana.
 
Kikosi hiki Cha Sasa hakina ubora was kuchukua ubingwa ukilinganisha na Azam na Simba kwa Sasa ni upepo mzuri unapepea jangwani ukiambatana na bahati
Huu ndio ukweli ambao mashabiki wengi wa yanga hawataki kabisa kuukubali, kikosi kibovu kama hiki cha yanga kikichukua ubingwa itakuwa ni fedheha kubwa kabisa katika ligi kuu Tanzania Bara.
 
Kikosi hiki Cha Sasa hakina ubora was kuchukua ubingwa ukilinganisha na Azam na Simba kwa Sasa ni upepo mzuri unapepea jangwani ukiambatana na bahati
Unazungumzia hiki kikosi cha Simba kilichofungwa na Mbao ?
Huo ubora unaupimaje ?
 
Yanga wana uwezo mkubwa wa kutumia chances wanazopata unlike Simba ambao hawatumii chances. Simba na Azam wasipoifunga Yanga, wasahau ubingwa kwasababu timu ndogo haziwezi kuifunga Yanga...ila mpira wa Yanga mbovu sana.
Yanga hawezi pata alama tatu mbele ya simba na azam, hapo lazima afungwe breki, hasa akikutana na Simba ata waweke magolikipa kumi mbele acheze mtu mmoja game ya raundi ya pili kichapo kiko pale pale.
 
Yanga wana uwezo mkubwa wa kutumia chances wanazopata unlike Simba ambao hawatumii chances. Simba na Azam wasipoifunga Yanga, wasahau ubingwa kwasababu timu ndogo haziwezi kuifunga Yanga...ila mpira wa Yanga mbovu sana.
 
Yanga wana uwezo mkubwa wa kutumia chances wanazopata unlike Simba ambao hawatumii chances. Simba na Azam wasipoifunga Yanga, wasahau ubingwa kwasababu timu ndogo haziwezi kuifunga Yanga...ila mpira wa Yanga mbovu sana.
 
Hahahaha

Achana nao ,watakukondesha
Mission ya Tifua Tifua imefeli, mipango yao imegoma, sasa tusubiri wafungie wachezaji wetu, hiyo yoote inafanyika ili kumpa wepesi mbumbumbu fc. Ila kwa sprit tuliyonayo kwa sasa, sidhani kama watafanikiwa. Tutagonga kila atakayejipendekeza kwetu. Tunalo benchi ka ufundi ambalo liko makini sana kusoma mapungufu ya mpinzani, ona Leo sub alizofanya mwalimu, hakika aliona Tz prison kasi yao ya kushambulia imepungua, maana waliamini mchezo wameumaliza, akaamua kumtoa beki na kumuingiza mshambuliaji hakika it was a brilliant substitute na matunda yake ni magoli mawili ya ushindi. Hongera Yanga Africa, Ila pongezi zaidi kwa bench zima LA ufundi, mko vizuri sana
 
Yanga wana uwezo mkubwa wa kutumia chances wanazopata unlike Simba ambao hawatumii chances. Simba na Azam wasipoifunga Yanga, wasahau ubingwa kwasababu timu ndogo haziwezi kuifunga Yanga...ila mpira wa Yanga mbovu sana.
Yanga hawezi pata alama tatu mbele ya simba na azam, hapo lazima afungwe breki, hasa akikutana na Simba ata waweke magolikipa kumi mbele acheze mtu mmoja game ya raundi ya pili kichapo kiko pale pale.
 
Unazungumzia hiki kikosi cha Simba kilichofungwa na Mbao ?
Huo ubora unaupimaje ?
Simba kufungwa na Mbao hakubadilishi maana na uhalisia kwamba Yanga wanna timu mbovu Quality ya wachezaji wa Yanga inaonekana japo matokea yapo upande wao kwa sasa
 
Sawa sawa

Huyu Kocha wa Yanga nimeanza kumuelewa , mbinu zake
 
Simba kufungwa na Mbao hakubadilishi maana na uhalisia kwamba Yanga wanna timu mbovu Quality ya wachezaji wa Yanga inaonekana japo matokea yapo upande wao kwa sasa
Wakubali wakatae wana kikosi dhaifu sana msimu huu, kinachowabeba ni bahati waliyonayo kipindi hiki nothing else.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…