Uwanja wa Sokoine | Vodacom Premier League (VPL) Tanzania Prisons Vs Simba SC

Uwanja wa Sokoine | Vodacom Premier League (VPL) Tanzania Prisons Vs Simba SC

Kelele nyiiingiii. Haya chukueni basi hata hili
1593364155216.gif
 
Kwanini kila siku sisi Simba tu? Ivi haitokei timu nyengine ikaweza kutuchallenge kwenye ubingwa? Yani tunabeba ubingwa mpaka inaboa!
 
Na kwa kinachoendelea kwa sasa kwenye soka letu la bongo nikiziangalia timu shiriki ligi kuu, naiona simba ikichukua ubingwa kwa mara nyingine mbili.. kazi mnanyo majirani.
 
Back
Top Bottom