Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Nimekuona jamanii sasa huko kwenye kupiga injili yaani hapo tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Zana anamwaga mimaji inayotamanishaUnatisha sana kama mitungi ya Kulibali
😳😳😳
Simba 3 - azam 1 + yanga 1[emoji23][emoji23][emoji23]FT Simba 3 Vs Yanga&Azam 1
Ahhahahah insta babe bwanainsta babe hapa kwenyew ujue nasoma injili hivyoView attachment 1029279
Sent using Jamii Forums mobile app
uchawi kasoro vitendea kazi
haya sasa insta babe kama unataka mvua nipe ruksa nije nipige maombiAhhahahah insta babe bwana
Azam ni Tawi tiifu sana kwa Mikia zaidi ya tawi lao la mpira pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga mlipewa maagizo na nani vileAzam sio dhaifu..wanatekeleza maelezo waliopewa na waajiri wao,wanalinda ugali wao mkuu,vumilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Yametimia!Azam=Tawi dogo la simba.hivyo point 3 tunajichukilia kiulaini, fitna bin fitnani.
Iringa na LipuliKituo kinachofuata ni wapi Wakuu?
+ AL AHLY 1
Hahahhahhaya sasa insta babe kama unataka mvua nipe ruksa nije nipige maombi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa MkuuIringa na Lipuli