Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

na kweli maana gongowazi wakikukuta hapa balaa lake sio dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji125][emoji125][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa munatakaje? Si nayeye Kocha wenu ZUHURA awalilie TIEFUEFU wasimamishe michezo ya Vyura FC mpaka Mnyama Simba SC amalize viporo vyake!

Au unataka Haji Manara asimamishe yeye michezo yenu?
Fuatilia hoja Kiongozi.
 
Akili ndogo vigumu sana kuelewa? Yanga waliuza mechi mapema ndo mana Manara alikua anahamasisha mashabiki wa simba kuja uwanjani kwa vile alikua na uhakika na matokeo.
Kilichotokea Yanga kufungwa dk za mwisho ni ile tu njanja kuwapumbaza mashabiki wa Yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Eti nao Azam walipita mlango waliopita Chura na kugoma kupita mlango wao.
Hata ukiingia na helikopta machinjioni utachinjwa tu.
Tofauti ni aina ya kisu cha kuchinjia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…