Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

Uwanja wa Taifa: Azam FC 1 vs 3 Simba SC

Hizi game ni fixed kabisa hata kichaa anaweza ng'amua hilo....

Haya mapambano ya timu za mabeberu kupambana na timu ya wananchi sidhani kama zitazaa matunda.

Sisi ni wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Azam hii inatoa sare na Alliance Chamazi inafungwa na Prisons uulitegemea kabisa amsimamishe Mnyama Hahaha
 
Back
Top Bottom