90+5'
Kuelekea kumalizika kwa mtanange huu wa VPL
Wanaanza mpira nyuma mabeki wa Simba, lakini wanakosea wanamiliki mpira umiliki kwao Yanga sasa hayaaa wanakwenda anapiga shutiiii gooo laaaaaa mpira unagonga mwamba.
Wanakwenda Simba sasa Kwake Kennedy anapigaaa mpira ule la laaaa njeeeee, ilipigwa Counter attack kuelekea lango la Yanga, lakini shuti la Kennedy linapaa lango la Yanga, haya sasa dakika za lala salama bado sekunde chacheee
Metacha anapiga goal kick ndefu kule wanaruka wachezaji wawili juu
Naaaaaaam mpira umekwishaa uwanja wa Taifa
VPL, FT: Yanga SC 1-0 Simba SC