Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

Asante sana mkuu wazunguwawili nimepata supu mapema sana ikitoka Kiembesamaki kuja hapa Dar..Sasa kazi kushuhudia huu mtanange wa vuta nikuvute, kanyaga nikuruke, piga nizuie...!

Itajulikana dakika 90 kuamua
Vyura kwenye huu uzi hawaji labda wabahatishe japo sare ndo utawaona hapa.
Yaani ni kwamba hawajiamini kabisa na timu yao.
Naona wanachungulia tu na kuondoka.
 
Mnyama ana kiu na damu
tapatalk_1583513587831.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni mtazamo wangu sijagandamizia wala kulenga upande wa Mshana Jr...ina maana mtu akibet man u anashinda mtu mwngne ashindwe kubet ivo kwa kuwa fulan kafanya
Umedanganywa na Mshana,Giza haliwezi ishinda Nuru!
 
Mkuu mmteule upo? Game muhimu sana kwako, haya karibu kwenye kipute kushuhudia burudani ya aina yake..!
Mkuuu nishafika niko Mitaa ya Klabuni happa kupata Tisheti yenye Mmteule Mgongoni. Vijana wako vizuri hapa Langoni tukutane jukwaaani leo!
 
Viongozi wa Yanga wakiongozwa na Mwenyekiti Msolla, wakizungumza na wachezaji pamoja na benchi la ufundi jana kuelekea mechi ya watani wa jani, Yanga Vs Simba

Picha chini, Viongozi wa Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi Dewji, wakizungumza na wachezaji na benchi la ufundi jana kuelekea mechi ya watani wa jadi, Yanga Vs SimbaView attachment 1380593View attachment 1380594
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom